"Mbona mi nakademu kafid force nilikatongoza ila hadi sasa bado nakala mdogo mdogo, kakizingua gheto kichapo kama kawaida? Sema nn kujiamini, msela hakujiamini
Anayelia sana msibani 90% huwa ni muhusika mkuu,....(.1) mtoto wa marehemu ntamsomesha mimi (2) chakula na mazishi ntasimamia mimi (3) hujitoa sana kuwa hadaa watu kumbe kikulacho by mr nice
Kuhusu swala lakufunga si kweli mkuu nachojua aliyepigwa risasi alikufa papo hapo ila aliyepiga risasi alifia hospital ya mkoa,mwanza baada ya wanafunzi wa kangaye sec na wananchi wenye hasira kali kumshambulia. Kalibu elephat pub hapa round about kangaye mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.