MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Baada ya watu watatu kufariki wakati wa mazishi na hivyo kusababisha misiba kufika minne, wakazi wa Kangaye Mwanza wameamua kufunga kwa siku tatu mfululizo kuomboleza misiba hiyo pamoja na kuombea amani katika eneo lao.
Itakumbukwa siku sio nyingi wakati mazishi yakiendeleaa, mtu mmoja alitoa bastola kwa nia ya kupiga hewaani ili kuwaandaa mababu kumpokea marehemu huko aendako lakini kwa bahati mbaya alimpiga muombelezaji mwingine na kumsababishia kifo, ambapo wananchi wenye hasira walimshambulia naye hadi kumsababishia kifo. Wakati purukushani zikiendelea mtoto mmoja alipata majeraha ambayo yalimsababishia kifo.
Mwenyekiti wa mtaa huo ametoa wito kuwaomba wananchi kuepuka kula hadharani wakati wa kipindi hiki cha mfungo.
Itakumbukwa siku sio nyingi wakati mazishi yakiendeleaa, mtu mmoja alitoa bastola kwa nia ya kupiga hewaani ili kuwaandaa mababu kumpokea marehemu huko aendako lakini kwa bahati mbaya alimpiga muombelezaji mwingine na kumsababishia kifo, ambapo wananchi wenye hasira walimshambulia naye hadi kumsababishia kifo. Wakati purukushani zikiendelea mtoto mmoja alipata majeraha ambayo yalimsababishia kifo.
Mwenyekiti wa mtaa huo ametoa wito kuwaomba wananchi kuepuka kula hadharani wakati wa kipindi hiki cha mfungo.