Mfumuko wa bei huku mtaani unashamiri, kuna nini kinaendelea?

Lile kundi wa mashetani alilopiga pin magufuli limerejeshwa na Amirat Jeshi.
Hii ndio point,

Mzee alikuwa commited kukontrol ujinga ujinga lakin mapuuzi yaliolaaniwa yanamponda, ilikuwa watu wanahodhi dola ili zipande bei akawajua akabana mwanya, kila penye inflation akabana mwanya, sasa wameingia furahieni show....na bado nishati ya umeme mtakuja shuhudia matukio heavy.
Uzuri wote tunaguswa na matokeo
 
Hii ndio point,

Mzee alikuwa commited kukontrol ujinga ujinga lakin mapuuzi yaliolaaniwa yanamponda, ilikuwa watu wanahodhi dola ili zipande bei akawajua akabana mwanya, kila penye inflation akabana mwanya, sasa wameingia furahieni show....na bado nishati ya umeme mtakuja shuhudia matukio heavy.
Uzuri wote tunaguswa na matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakubana, alipora pesa za wafanyabiashara wa beaure de change.

Jamaa alikuwa ni dhalimu.
 
Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!

Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000. Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.

Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je, Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?

Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.
Mafuta yakishapanda haya mambo mengine yote lazima yafuatie. Ndio maana kuna kila sababu ya kuhakikisha tunatumia nishati ya ndani yenye bei nafuu ili kupunguza makali ya kupanda kwa mafuta.
 
Georgia, ookey.. naamini hilo jimbo kuna huduma za Eat Pro. Embu agiza overcado desert ikifikia angalia prica tag.

Iwe from Africa sio mexico.
Camoon! Hapa tunazungumzia fresh food from supermarket. Ukiagiza online lazima itakuja na gharama ya kuandaa hiyo desert + delivery cost so lazima iwe expensive though haitafika dollar 100.
Na kwanini uagize parachichi all the way from Africa?!🤣🤣🤣
 
Camoon! Hapa tunazungumzia fresh food from supermarket. Ukiagiza online lazima itakuja na gharama ya kuandaa hiyo desert + delivery cost so lazima iwe expensive though haitafika dollar 100.
Na kwanini uagize parachichi all the way from Africa?!🤣🤣🤣
Parachichi kutoka Africa ni less Junk zinakuwa ghali. Junk food ni cheap. Junk namaanisha vyakula vya kisasa.
 
Jamani mm wanaousema utawala uliopita ni mbovu na wengine wana mdhihaki kabisa jpm na kusema alikua ni shetani labda turudi kwa huyu mama yenu ambaye mm binafsi sielewi maendeleo ndiyo yapi

Mahindi 5000/= lakini mbolea 55000 hadi 100000

Sabuni kutoka 8500 hadi 15000

Nimeulizia baiskeli kutoka 105000 hadi 150000

Tozo za mitandao

Bandle Bei juu

Electronic ndio zimepanda mpaka basi
Jamani ushetani wa jpm uko wapi na maendeleo kwa Samia yako wapi mm sio msukuma ila sielewi shangwe za watu zinatoka wapi au kunawenzetu mnapewa ruzuku
 
Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!

Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000. Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.

Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je, Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?

Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.
Nisamehewe bure lkn nahisi serikali inahusuka kimya kimya, otherwise ingekuwa imeshatoa mwongozo fulani. Sitaki kuamini kuwa watendaji serikalini hawajui kinachoendelea mtaani juu ya bei hizi zinazotuumiza. Mwaka wa 6 sasa kipato hakiongezeki ila bei zinapaa. Hayo maendelea yatakujaje kwa mfano??
 
Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!

Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000. Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.

Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je, Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?

Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.

bei za bidhaa hazipangwi na serikali, ukiona vitu vimepanda bei basi kuna sehem tafauti mauzo yanauzwa sana, mfano anaeuza mahindi anaweza akawa amepata soko la nje linalompa faida zaidi so anachukua route hio, bidhaa nyingi ni bei ndogo kwa sababu mzalishaji anapata faida kidunchu sana
 
Back
Top Bottom