msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,203
- 7,720
Ila haikua fair kabisa ..ilibidi wangeanza kupita butiama halafu wangeenda chato
Moja ni la kuuwa watu.Hii inaonesha kuna mambo makubwa aliyoyafanya Magufuli kum-enzi Mwl. Nyerere.
Unateseka tokea wapi leo?Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Unanipangia ?
Ni kutokuelewa tu. Serikali imekuwa na utaratibu wa kufanya tarehe 14 Oktoba ya kila mwaka kuwa kilele cha wiki ya vijana, kilele cha mbio za mwenge wa uhuru na kumbukizi ya kifo cha baba wa taifa. Vilele hivi hufanyika katika mikoa mbalimbali kwa kupokezena haijaanza mwaka huu.Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Kwani Mwenge uliasisiwa na JPM? Kwanini haukuzimiwa Lupaso🙄Kulikuwa na shughuli ya mwenge, wacheni wivu!
Kwani Mwenge uliasisiwa na JPM? Kwanini haukuzimiwa Lupaso
kwani kujenga nyumba ndio nini.Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Ushahidi? Basi Mungu ana ushahidi! Kamfuate huko kaburini umbusu, na Inshallah leo utamfuata muuaji mwenzako mnywe mikojo yenu wauajiHuna ushahidi wowote ule bali kuropoka Jamii Forum, shukuru kuna watu wameliwezesha hilo la wewe kupayuka.
... Jpm aundiwe siku yake ya mapumziko; siku ya Mw. unamuenzi mwingine huku mwenye siku yake akiachwa tafsri yake nini? Mashada yalitakiwa yakawekwe Butiama kama yanavyowekwa Kisiwandui na sio Chato! Baba wa Taifa amekosewa heshima sana leo
Mnawaongelea wafu lakini, kumbukeni hilo sana tena sana, inavyoonyesha kunahaja kubwa sana ya kurudi kwenye ibada zetu za mizimu…Ni upumbavu wa Hali ya Juu, yaani leo hii Magufuli ndio achukue nafasi ya Mwalimu?
Hivi mama hawezi kufikiri kwamba timu ya Mwendazake inamuendesha inavyotaka?
Yaani kapigwa na kuaminishwa propaganda kwamba wasukuma ndio wanaamua Rais? Miaka yote kabla ya Uhuru walikuwa wanaamua Rais?
Magu alipata 58% za kubumba dhidi ya Lowassa kwa nini wasukuma hawakumpa aailimia zote? Huu ni upuuzi na dhihaka kwa Marehemu mwalimu Nyerere.
Hebu acha kulinganisha mtu wa maana kuwahi kutokea nchi hii, na viumbe wa ajabu ajabu hao!!MUNGU FUNDIUmeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Namuona Nyerere akipigwa na bumbuwazi
Utetezi duni sana !Ndugu zangu kwa nini tunapenda fikra hasi ktk kila jambo? Kumbukizi ya Mwalimu imefanyika Chato, ambako kuna kaburi la Dk. Magufuli.
Kosa nini hapo kwa Rais na viongozi wengine kupita ktk kaburi na kuweka shada la maua na kumuombea dua aliyekuwa kiongozi wetu?
Wami Dakawa ni site ya mpendwa Sokoine, ikitokea kumbukizi ya Mwalimu, Wiki ya Vijana na kuzimwa Mwenge wa Uhuru ukifanyika Moro, je, viongozi wakienda pale kabla ya kuelekea ktk tukio la kumbukizi ya Mwalimu, ni kosa?Utetezi duni sana !
Aliyepanga ratiba ya SSH Nyerere day alichemsha sana!Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957