Recent content by The Skunk

  1. The Skunk

    Huyu ndiye Giriki, Dereva aliyetoka na basi Dar saa 12 asubuhi, akaingia Mbeya saa saba mchana

    Huyu mwamba namfahamu vzuri sana,alikuwa akifanya kazi na Mshua wangu kampuni mmoja mkoani Iringa
  2. The Skunk

    Kama haukuangalia hizi muvi uzaliwe tena

    SOLO Sent from my iPhone using JamiiForums
  3. The Skunk

    Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

    Wasafi Primary School Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. The Skunk

    Leo jioni naleta hapa free app ya kuangalia TV mbalimbali, kaeni tayari

    Sisi wa ios mnatusaidiaje? Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. The Skunk

    Byte iliyokuwa Vine ni Fursa ya kisasa kwa vijana kiuchumi

    Napataje hiyo VPN Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. The Skunk

    Kwanini Wahaya na watu wa Kanda Ya Ziwa Victoria wana akili nyingi?

    Mbona wazanzibari hawana akili nyingi.? Sent from my iPhone using JamiiForums
  7. The Skunk

    Nimehuzunika sana, siamini kama leo hii na shahada yangu nimekuwa mtu wa kuandalia watu chai mezani

    Daaah nimechekaa saaaana aiseee Sent from my iPhone using JamiiForums
  8. The Skunk

    Ahsante; Neno dogo lenye nguvu ya kuleta mabadiliko kiroho na kimwili

    Yeah Yupo Sent from my iPhone using JamiiForums
  9. The Skunk

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nani ambaye ubashiri wake unakuaga 85% sahihi ili nipate pesa ya supu leo Sent from my iPhone using JamiiForums
  10. The Skunk

    Ahsante; Neno dogo lenye nguvu ya kuleta mabadiliko kiroho na kimwili

    Asante kwa somo zuri. Mimi pia nina ushuhuda Nguvu ya neno Asante. Mwaka 2016 niliingia kwenye usaili wa JKT mkoani DSM nikitokea wilaya X {sitaitaja kwa sababu za kiusalama} Wakati tunafanya usaili sasa mchujo wa kwanza nikapita,tukaingia mchujo wa pili nikapita,kwa kuwa watu tulikua wengi...
  11. The Skunk

    Naitaji kufanya kazi kwa kujitolea jeshini (JWTZ), msaada wenu naanzia wapi?

    Simple sana kwa mtu kama wewe uliyesoma IT,hack systeam yao then waekee ka pop up msg kuwa unataka kujitolea ili uziwekee ulinz mzur systeam yao Sent from my iPhone using JamiiForums
  12. The Skunk

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Chief hizo packs nazipataje,game nimeshainstall Sent from my iPhone using JamiiForums
  13. The Skunk

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Kuna jamaa angu alifumaniwa na mke wake,ugomvi ulikua mkubwa kiasi ya kwamba mwanamke alishaanza kufungasha mizigo yake aondoke,jamaa alichofanya alimpgia mtalaam wake simu aisee,baada ya masaa 5 mwanamke amesahau kila kitu,hali ikawa shwari Sent from my iPhone using JamiiForums
Back
Top Bottom