Asante kwa somo zuri.
Mimi pia nina ushuhuda Nguvu ya neno Asante.
Mwaka 2016 niliingia kwenye usaili wa JKT mkoani DSM nikitokea wilaya X {sitaitaja kwa sababu za kiusalama}
Wakati tunafanya usaili sasa mchujo wa kwanza nikapita,tukaingia mchujo wa pili nikapita,kwa kuwa watu tulikua wengi...
Simple sana kwa mtu kama wewe uliyesoma IT,hack systeam yao then waekee ka pop up msg kuwa unataka kujitolea ili uziwekee ulinz mzur systeam yao
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna jamaa angu alifumaniwa na mke wake,ugomvi ulikua mkubwa kiasi ya kwamba mwanamke alishaanza kufungasha mizigo yake aondoke,jamaa alichofanya alimpgia mtalaam wake simu aisee,baada ya masaa 5 mwanamke amesahau kila kitu,hali ikawa shwari
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.