Recent content by The Senetor

  1. The Senetor

    Taifa linakosea kuwaamini Maprofesa wengi kuwa Wabunge na Mawaziri

    Ni vibaya Taifa kuamini maProfesa wengi kukimbilia bungeni au kuwa mawaziri yaani ni sawa na kutumia gari la kubebea makontena/mchanga kubebea mikate.Duniani kote ni gharama kuandaa maprofesa hawa,hapa kwetu wanakimbilia bungeni kwa sababu ya masilahi yao mabovu.Hawa ni thinktanks za nchi ndio...
  2. The Senetor

    UKAWA kemeeni TANESCO kutumika vibaya kutukatia umeme siku muhimu ili tusihabarike

    Inashangaza nchi hii umeme kukatika kila siku bila taarifa,utadhani haina viongozi hebu tuorodheshe mikoa waliyokata kwa kuanza Dar wamekata huku Kinondoni
  3. The Senetor

    Wanawake wa kichaga mkoje?

    Mimi nilikuwa mbishi juu ya hilo kabila nikapata mmoja mpaka nikamtambulisha kwetu na nilipojitambulisha kwao akajua kazi imeisha akaanza vituko na kunisumbua nilimpiga chini na kukata mawasiliano mpaka leo anasumbua tatizo lenu mnawadekeza kwani ukimwacha yeye ndio mwenye K peke yake?Pia...
  4. The Senetor

    Rais Kikwete anawachanganya wananchi

    Jana Rais Kikwete alisema muda wa kampeni za kuikubali au kuikataa katiba mpya bado haujafika na watu wasubiri muda ulioruhusiwa kisheria lakini anasahau yeye ndio wa kwanza kuvunja hiyo sheria maana amekuwa akiipigia kampeni kwa kuwaeleza wananchi kuwa ni nzuri na waipigie kura ya NDIYO mfano...
  5. The Senetor

    Jeshi la polisi halijachukua hatua kwa Makonda

    Wakuu ni ajabu sana mpaka sasa jeshi la polisi halijachukua hatua kwa watu waliofanya fujo wakiongonzwa na Paul Makonda.Nina uhakika tukio lile lingefanywa na vijana wa CHADEMA/CUF/NCCR basi ingekuwa tofauti.Siku zote kwenye mikutano ya wapinzani jeshi la polisi huizuia wakidai kuna taarifa za...
  6. The Senetor

    IPTL/PAP wamvaa David Kafulila

    IPTL wezi tu na wote mnaoitetea ni wapumbavu sana hamna hata uzalendo kwa nchi yenu basi hizo pesa mnazolipwa kuwatetea IPTL na iwe laana kwenu na watoto wenu,msifanikiwe na daima vizazi kwenu visiwe na amani
  7. The Senetor

    Sio kila mpenzi wako wa zamani anayeomba mrudiane anamaanisha

    Ahsante sana kaka umehalalisha maamuzi yangu Mungu akupe mema maishani mwako
  8. The Senetor

    IPTL/PAP wamvaa David Kafulila

    IPTL wezi tu ngoja CAG atoe ripoti lazima baadhi ya mawaziri wang'oke wakiongozwa na Mwanasheria mkuu wa serikali na katibu mkuu wizara ya nishati na madini.Wewe huna akili kabisa IPTL mkombozi wa watanzania njoja tuone nani kati ya Werema na Kafulila na nani mshenzi kati ya Maswi na Kafulila
  9. The Senetor

    IPTL/PAP wamvaa David Kafulila

    Hao IPTL wezi tu Kafulila yupo sahihi kama sio wezi kwanini wahisani wamekataa kutoa pesa mpaka uchunguzi wa jambo hili ukamilike Mataifa wahisani wamechelewesha msaada wa kuipiga jeki bajeti ya Tanzania hadi pale uchunguzi kuhusu madai ya ufisadi katika sekta ya nishati utakapotolewa na hatua...
  10. The Senetor

    Rais Kikwete: Katiba inayopendekezwa ni bora sana, haijawahi kutokea

    Rais ni kigeugeu kwanini hakuwazuia au kuwakemea wazanzibar waliovunja katiba ya sasa kwa kusema Zanzibar ni nchi na Rais wa Zanzibar ndio mkuu wa nchi ya Zanzibar,yeye muda wote kucheka hata kwenye mambo serious
  11. The Senetor

    Pata rasimu ya katiba iliyopendekezwa

    Ahsante sanahttp://http://www.ngastuka.com/2014/10/download-rasimu-mpya-ya-katiba-iliyo.html?m=1
  12. The Senetor

    Madaraka Nyerere: Serikali iondoe picha ya Mwl. Nyerere kwenye noti ya sh. 1,000

    Madaraka yupo sahihi kabisa kwani BOT hawawezi kuweka kwenye noti picha halisi ya Nyerere pamoja na maendeleo haya ya teknologia? kuna mambo ya kujadili lakini sio hili
  13. The Senetor

    Mwanasheria wa Zanzibar yuko sahihi kwa 100%

    Kitendo cha kufukuzwa kazi mwanasheria mkuu wa Zanzibar ni madhara ya kura ya wazi ambayo ilileta mtafaruku sana.Maana ingekuwa ni siri isingejulikana na pia uhuru wake wa kuchagua umeingiliwaa,pia mwanasheria huyu alijitetea kuwa serikali ya Zanzibar haikuwa na msimamo katika miundo ya...
Back
Top Bottom