Recent content by The Retired Planner

  1. The Retired Planner

    Nimegundua siri kubwa ambayo bloggers wakubwa hawaisemi

    Sasa mkuu mbn ilikuwa ni rahisi tu kutuambia unasaidia kubooost na malipo ndio kama hayo period. Umesababisha wadau watoe lugha kali kwa ishu ndg kama hiyo. Au umesahau ile slogan yetu hapa JF? " We Dare to Talk Openly"
  2. The Retired Planner

    Pata mkopo rahisi zaidi na Tala Tanzania

    Mkuu mm ndio naisikia leo hii kampuni, lkn pamoja na hilo bado hujawa na uwezo wa kukopa mil 1. Sasa ww umetoka kukopa TZS 30,000 na kurejesha TZS 36,000/- unataka hapo hapo upande mpk mil 1? Hebu tuweni wakweli jamani, hata kama biashara ni yako wewe ungefanya hicho kitu kweli. ?
  3. The Retired Planner

    Wanaume wote, ni sehemu gani unaipenda kwenye mwili wa mwanamke?

    Mmmmh! Oky. Ila kwangu akiwa tu na chuchu zinazochomoza kwenye blauzi hivi, halaf hajavaa sidiria , yaani unauona kwa shida flani hivi ule mchoro wa chuchu yenyewe, daaaaaah! Kwishiney
  4. The Retired Planner

    Harusi ya Viol na King'asti november

    Hongereni sana wajameni!
  5. The Retired Planner

    Nina Changamoto kubwa sana wadau inanisumbua... ushauri wenu muhimu

    Kweli duniani tunatofautiana kweli kiakili!
  6. The Retired Planner

    Msaada: Uume kusinyaa mara tu nitakapo kufanya mapenzi

    FAHAMU SULUHISHO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Ukweli ni kwamba ndoa nyingi za Kikristo zinavunjika kutokana na tatizo hili. Je, hakuna haja ya kuitisha mjadala wa kitaifa? Taifa letu linaangamia kwa kukosa maarifa. Hivi upungufu wa nguvu za kiume ni nini? Kifupi ni mwanamume kutokuwa na...
  7. The Retired Planner

    Msaada: Uume kusinyaa mara tu nitakapo kufanya mapenzi

    Jinsi ya kuongeza nguvu za kiume. Kwanza unatakiwa ujue kwamba hakuna dawa ya kuongeza nguvu za kiume Bali zipo za kubusti tu na kukupa power kwa wakati husika, Pili unatakiwa ujue kwamba ukishaanza kumeza dawa za kubusti wenyewe ndio mnaziita za kuongeza nguvu za kiume basi ujue wewe ni kama...
  8. The Retired Planner

    PRESSURE KUSHUKA.

    HYPOTENSION : Low Blood Pressure Ifahamu Presha ya kushuka Nini presha ya kushuka ? Hypotension ndio jina alinalotumika kuelezea presha ya kushuka (90/60 mm Hg) ambayo huonekana kutokuwa na sababu iliyoifanya itokee.Kipimo cha presha huwa na namba mbili. Namba moja huwa juu na nyengine huwa...
  9. The Retired Planner

    Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

    Haaahaahaaaa, hivi kumbe kutafuna ndio kupanda eeh! sawaaa sawaa
  10. The Retired Planner

    Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

    Hapo kwenye "kukupanda" hapo daaah! Sijui ni mm na mawazo yng tu , au ndio ulikuwa una maanisha hvyo hvyo! Kapeace mweeh... mweeh...
  11. The Retired Planner

    Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

    Umeona eeh! ngoja niendelee kudunduliza za chips snacks aiseee [emoji12]
Back
Top Bottom