bujaganoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 561
- 452
- Thread starter
- #21
Wachaga brohao wakwe ni wachaga au sio ??
umewapa ng'ombe watumie kumkamua maziwa ila wewe wamekugeuza ng'ombe wa kukamuliwa pesa
teh teh
Wachaga brohao wakwe ni wachaga au sio ??
umewapa ng'ombe watumie kumkamua maziwa ila wewe wamekugeuza ng'ombe wa kukamuliwa pesa
teh teh
Makubaliano ni yale yale... account ni ya huyo mama mtoto na namba ya zimu ni yake... kuna utofauti gani sasa... wameomba meseji nimewatumia zote... kuna tofauti gani hapo?We angalia makubaliano na maelewano na mzazi mwenzio
Upumbavu wangu uko wapi?Motoa mada ni mpumbavu next time mambo ya kukuweka hoja kama izo
hao wakwe ni wachaga au sio ??
Kwa nini utembee na mwanafunzi mkuu wanawake wameishaU
Upumbavu wangu uko wapi?
Pole lkn angalia na moyo wako kama unampenda bibie stahamili
Huwezi elewa mkuu, hata sikuwa nafahamu kama ni mwanafunzi... alidai yupo chuo...Kwa nini utembee na mwanafunzi mkuu wanawake wameisha
Naona dalili ya kumfanya mtoto yatima au chokoraa inanukia.
hapo wanafanya hivyo kwa vile huwezi chomoa, coz huyo ni mwanafunzi
Kwa nini utembee na mwanafunzi mkuu wanawake wameisha
Mkuu account zote ni za mama mtoto hata hiyo ya benki ni ya kwake na yeye ndio mwenye passwordUlifanya kosa kwa kua makubaliano yalikua utume kupitia bank hapo inaonesha mama alikua anawapiga bao cha kufanya ongea na mama mkwe ndio anajua kwa nini wanasumbua
WachagaKabila gani haoo
Hilo nalo nenoWaambie kama hawakubaliani na meseji hutumi tena hata mia waende wanakotaka na binti yao basi waende ustawi wa jamii.