Recent content by The rebellion

  1. The rebellion

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Etiiiii? Baba yenu mmchangie kumpiga? Duhhh we kabila gani mkuu
  2. The rebellion

    Simiyu kuanzisha shule ya vipaji maalum

    Anthony mtaka ni RC bora, sema yupo kwenye mkoa usio na mapato mazuri Kama Bashite! Bashite yeye hela ni nyingi pia wafadhili ni wengi daslam ya Bashite
  3. The rebellion

    "Punda afe mzigo ufike " mzee kasema !

    Nachojua Mimi ukijiingiza kwenye hizi biashara za madawa ya kulevya, huwezi kusalimika uhai wako!! Aidha utakufa kwa sababu ya madhara ya madawa Au watakuua hao mabosi wako wakihofia kuumbuka!! Tumejaaliwa ardhi yenye rutuba, amani na mvua za masika zipo/maji, hebu tupigeni kilimo vijana...
  4. The rebellion

    Walinzi wa Ikulu ya magogoni huu sio utanzania

    Staki kubishana mkuu!! Kama huitambui hiyo vita basi
  5. The rebellion

    Walinzi wa Ikulu ya magogoni huu sio utanzania

    We mjinga kweli utani? Vita imepoteza askari na silaha we unaiita utani?
  6. The rebellion

    Tanzania's Vice President with Prince William

    Weka paragraph, usiandike hovyohovyo!!
  7. The rebellion

    Unstable President leads to Unstable Country

    Capitalist puppets at duty! Endeleeni kutetea maslahi ya wazungu na propaganda zao zidi ya taifa lenu wenyewe, hamna jema nyie viumbe, mda ukifika mtakumbuka na kuomba msamaha Kama mnavyojipendekeza kwa jk, wakati ndio alikuwa mnyonge wenu!! Hawa wasiojulikana wapo kweli? Kama wapo wako wapi...
  8. The rebellion

    Mh Rais Magufuli hata Nebukadneza alishupaa misuli kukataa neno la Mungu mwisho akawa chizi wa kula majani

    Yaani maaskofu ndio wawe watu wa kuhimidiwa kisa wameandika nyaraka? Mnadhani wana utakatifu sana mioyoni mwao? Yesu mwenyewe hakuingilia mamlaka ya serikali na alitii sheria za nchi ( uyahudi chini ya Roma) Leo hawa maaskofu wamekuwa kama ndio wasafi na wenye hekima kupitiliza? Mbona...
  9. The rebellion

    Alama ya maziwa kwa mwanaume ina kazi gani?

    We are Similar but not the same!!
  10. The rebellion

    Hizi Tuzo alizopewa Gabo Sijazielewa...........

    We kama nani unajinasibu kwa mbwembwe hizi?
  11. The rebellion

    Ubora wa Bombardier: Kwanini ndege hii imechukua siku 5 kutoka Canada hadi Tanzania?

    Akili zenu huwa zinaongozwa na rimoti za ufipa siwezi kubishana na akili ndogo Kama wewe!!/asubuhi njema
  12. The rebellion

    Ubora wa Bombardier: Kwanini ndege hii imechukua siku 5 kutoka Canada hadi Tanzania?

    We mjinga kweli kweli, kajisomee kuhusu kiwanda cha bombardiers utajua kuwa ni new generation au old fashioned!! Hizi bombardiers hata Marekani wanazitumia kwa wingi sana.
  13. The rebellion

    Hongera Rais Hongera sana kwa ndege mpya

    Sawa professor wa ufipa
Back
Top Bottom