bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,211
Mkuu wa mkoa wa simyu ,Mtaka kuanzisha shule kwa ajili ya wanafunzi wenye vipaji maalum ambayo itaitwa SIMIYU boys na SIMIYU girls,ambazo zitaungana na shule kama kibaha,mzumbe,ilboru,tabora(b),tabora(g),msalato na kilakala
Lengo la shule hizi ni kuongeza wigo mpana wa vijana ambao siku zote wanaonekana kuwa na vipaji lakini wanakosa nafasi ya kuvionyesha kutokana na ufinyu wa nafasi.
Hii yote ni kutekeleza Sera ya Tanzania ya viwanda kwa kuwezesha vijana kielimu kwanza
Nawasilisha
Lengo la shule hizi ni kuongeza wigo mpana wa vijana ambao siku zote wanaonekana kuwa na vipaji lakini wanakosa nafasi ya kuvionyesha kutokana na ufinyu wa nafasi.
Hii yote ni kutekeleza Sera ya Tanzania ya viwanda kwa kuwezesha vijana kielimu kwanza
Nawasilisha