mwanamanzi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 271
- 353
Ninatumaini Pasaka ndio imeisha kwa usalama,
Napenda kujulishwa kitaalamu hasa kwa waliobobea katika masomo ya baiolojia kipengele cha viungo na matumizi yake (anatomy and physiology).
Hivi alama za maziwa/ matiti kwa wanaume yana kazi gani hasa?
Napenda kujulishwa kitaalamu hasa kwa waliobobea katika masomo ya baiolojia kipengele cha viungo na matumizi yake (anatomy and physiology).
Hivi alama za maziwa/ matiti kwa wanaume yana kazi gani hasa?