Alama ya maziwa kwa mwanaume ina kazi gani?

mwanamanzi

JF-Expert Member
Feb 15, 2017
271
353
Ninatumaini Pasaka ndio imeisha kwa usalama,

Napenda kujulishwa kitaalamu hasa kwa waliobobea katika masomo ya baiolojia kipengele cha viungo na matumizi yake (anatomy and physiology).

Hivi alama za maziwa/ matiti kwa wanaume yana kazi gani hasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom