Unstable President leads to Unstable Country

Unstable President leads to Unstable Country

Hivi wewe ulitrajia hao wahanga wa mabadiliko mining regime au vibaraka/mawakala wao wamsemeje JPM? So sad, hata Mange amekwisha kuwa 'intellectual referral' wako? Duh!
I beg your pardon...what exactly were you trying to say?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
There you go again with your efforts to defend this unfit to be in the state house person!!! Yeah! He is very stable but unfortunately even his beloved wife was not ready to support him to lead our beloved country.

Ongeza bidii kuna teuzi zinakuja hivi karibuni Mkoromije wewe safari hii lazima akukumbuke.

 
There you go again with your efforts to defend this unfit to be in the state house person!!! Yeah! He is very stable but unfortunately even his beloved wife was not ready to support him to lead our beloved country.
Of course any person with a sane mind wouldn't touch him with a 10-foot pole.
 
Fanyeni kazi nyie pumbavu zenu, mmekaa kulalamika asubuhi, mchana, na usiku. Democrasia, whatever sijui vyama vingi ni propaganda za wazungu kuendelea kututawala ki mabavu, hayupo mzungu dunia hii anayetamani africa iendelee kamwe sababu tukiendelea washenzi wale watakufa na njaa.
Pumbavu zako na weye, usoaamka ukatoka kufanya kazi, umekalia kuchangia ujinga tu humu, bure kabisa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
There you go again with your efforts to defend this unfit to be in the state house person!!! Yeah! He is very stable but unfortunately even his beloved wife was not ready to support him to lead our beloved country.

Ongeza bidii kuna teuzi zinakuja hivi karibuni Mkoromije wewe safari hii lazima akukumbuke.
Kwa sababu lengo la jf, Zaidi ya kuhabarishana, ni kuelimishana na ikibidi hata kusaidiana, mimi kwa vile mwanzo nilikuwa ni muhabarishaji, sasa ni muelimishaji, nikielekea kwenye msaidiaji.

Kwenye journalism kuna somo la PR, hatua kuu ya kwanza ya PR kwenye crisis situation ni appreciating the situation.
Tanzania tuko kwenye crisis ya kweli, mtu asiyefit yuko kwenye Ikulu yetu, sasa wengi wetu humu kazi yao ni kunyoosha tuu vidole, pointing fingers "unfit to be in the state house person!!!", na kusisitiza tuu hakupaswa kuwepo pale!, hivyo mnachofanya ku deny his presence there kwa ku wish hayupo!. Ninachofanya mimi ni appreciation the situation kuwa mtu huyu yupo, no matter how unfit he is, lakini ndiye yeye aliyepo kwenye Ikulu yetu, umpende usimpende, umkubali usimkubali, its never gonna change a thing, yupo ana exist!. Mimi naukubali uwepo wake na nimeshauri how to go about it.
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

P.
 
Inamana hana jema huyu mtu kwenye nchi? Endeleeni kutiana ujinga werevu wanatambua.
Kabisa waelevu tunatambua.

Yani mema hawayaoni ila wanajalibu kutafuta tafuta vijisababu ili kumshutum yani hata kama nijema lazima watalitafutia visababu vyauongo, nawafananisha na mafalisayo.
 
Ili tuweze kumtetea, Mshauri kwanza abadilike awe kiongozi na sio mtawala.
Muulize pia, mbona ulinzi wake umeongozeka maradufu? Kwani awaogopa watz wenzie? Kawakosea nini?
Magufuli ni rais wetu wote, kwa nini useme mshauri, badala ya wewe kumshauri. Bandika tuu thread " Magufuli Badilika, Kuwa Kiongozi Sio Mtawala" humo utaeleza kuwa mtawala ni vipi na kuwa Kiongozi ni vipi,
atasoma mwenyewe na atabadilika, japo hata sema kuwa nimesoma jf, nimeambiwa ni badilike, sasa nimebadilika, no!, atasoma mwenyewe kimya kimya na atabadilika, wewe ndio utayanote mabadiliko.

Mfano baada ya kusoma hapa,
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?!
Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!.
umeishazisikia tena tumbua tumbua za papara kwenye kadamnasi za watu?.

Au baada ya kusoma hapa, Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.
umeishasikia tena maigizo ya ziara za kushtukiza?.

Andika tuu chochote unachotaka Magufuli abadilike, atasoma na kujitathmini, kama ni kweli, atabadilika!.

Hili nimelisema mara nyingi humu
Tusilalamike Tuu, Kulaumu na Kulaani Kila Kitu, Kwenye Mazuri Tupongeze, Rais Magufuli is Changing For The Better!.
Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!.
Ila unapoandika, zingatia
Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli
Rais Magufuli na serikali yake wakosolewe kwa hoja sio kwa viroja - Jicho letu, Star TV
P.
 
Capitalist puppets at duty!
Endeleeni kutetea maslahi ya wazungu na propaganda zao zidi ya taifa lenu wenyewe, hamna jema nyie viumbe, mda ukifika mtakumbuka na kuomba msamaha Kama mnavyojipendekeza kwa jk, wakati ndio alikuwa mnyonge wenu!!

Hawa wasiojulikana wapo kweli? Kama wapo wako wapi waangamize hiki kizazi cha ufipa, kipotee chote,
 
The post of the President needs someone emotionally balanced. It's risky when emotions control decisions.

Take for example President Magufuli of Tanzania. The guy is not emotionally balanced at all. He is full of anger and revenge. He doesn't like criticism. He likes being praised. He orders arrests to whoever challenges his wrong decisions.

Emotionally controlled people are not fit for Presidency.
tapatalk_1512027825607.jpeg
 
Mayala, I like your critical comment. It could be much better if Mr Magufuli could at least have a quarter of tolerance over critics. Why arrests for critics, have become a routine?
You are giving example of Jf, but you are forgetting that, Mr Merro, the JF Director, was arrested and as we comment, he is having a case before court, for no reason other than critics against Magufuli.

Mayala my friend, better live poor but happier than live rich under chain of cries.
Jamani mwacheni Jpm afanye kazi, nchi yetu ilifika pabovu ukilinganisha na wingi wa rasilimali, hakika lazima rais awe emotional hasa anaposhughulikia mambo makubwa kwa faida ya watanzania wote halafu wanufaika walioichuma Tanzania kwa miaka kadhaa wanaanza kelele kwa lengo la kupotosha umma lazima achukie, tambua yeye ni raia wa Tanzania taasisi zote zinaripoti kwake, anajua nani ni nani, na yupi ni yupi.

Halafu watu wale wale ndo wana criticize juhudi zote, wanapotosha umma, matusi ndo usiseme!! Jamani Jpm nae ni binadamu ana roho kama yenu lazima awe emotional sometimes, nchi yetu imevunwa sana, kibaya zaidi chama chake ndo kimeshiriki uovu wote, kwahiyo Jpm anapigwa ndani na nje ya chama chake. Hata ungelikuwa ni wewe lazima uwe aggressive kupambana na mfumo tena uliodumu kwa miongo mitatu,!! si kazi ndogo.
 
Nadhani hapa, hatumtendei haki!, mbona kila siku humu jf na kwenye magazeti tunamcritisize?, angekuwa kweli ni mtu wa hivyo, si jf ingeishafungwa zamani?, mnyonge mnyongeni, ila haki yake mpeni!. Magufuli yuko stable sana na taifa letu liko very stable!.

Paskali.

Pascal Mayalla
Wacha kujitoa ufahamu au mpakja ya kukute?
ni mara ngapi humu watu wanatishiw ana kutafutwa?
ni wnagapi washapotea na wengine wapo vifungoni kwasababu ya kukosoa?

Kupewa kwako mkataba wakuisifia serekali kusikufanye usahahu tulipotoka na tuliko.
 
Paskali, kwani lazima uchangie kila hoja?
Naomba muongozo, hoja gani naruhusiwa kuchangia na hoja gani siruhusiwi, ili nichangie tuu zile hoja ninazoruhusiwa?.

Tumefikia kupangiana hoja za kuchangia?.
Au hoja ikiletwa humu kuna watu mnategemea michango ya kina fulani fulani tuu, sisi wengine tusichangie kwa sababu hatupaswi kuchangia baadhi ya hoja?.

P
 
Naomba muongozo, hoja gani naruhusiwa kuchangia na hoja gani siruhusiwi, ili nichangie tuu zile hoja ninazoruhusiwa?.

Tumefikia kupangiana hoja za kuchangia?.
Au hoja ikiletwa humu kuna watu mnategemea michango ya kina fulani fulani tuu, sisi wengine tusichangie kwa sababu hatupaswi kuchangia baadhi ya hoja?.

P
Umemkosoa mtoa hoja kwa kitu ambao wewe ulishawahi kukisema.
 
Back
Top Bottom