Hayo ni Majambalika toka kitambo wizi wameanza zamani sana, Sisi werevu tumeshaachana nao mda, laini zao zipozipo tu kwenye simu kwa jili ya kupigiwa na washikaji wengine wenye laini za hao wezi, sisi mitandao yetu tiGo, Airtel n.k.
Sasa watu mnlalamika nn na alalae usimwamshe?....Mtaendelea...
Hivi ninyi mmesoma Udsm gani njaa? Mbona mnaleta habari za kujibanabana kufikia kula misosi michafu ya uswahilini? Hivi hiki si chuo kabisa siku hizi eeh...mwanachuo unakula makoko halafu unajisifu hapa JF! Sisi tulikua tunasoma wakati huo nikiwa FOE watu tuna familia maisha safi yanasonga! Siku...
Lazima usiamini F.A.L.A kwa Kuwa vilaza ni wagumu kuelewa that's why supp kwao ni sifa hadi kufikia kujitangaza JF na kuona wao pekee ndo wamesoma pale Udsm na kutaka kudanganya wengine wasiojua mazingira ya pale.Sasa wewe kilaza wa nguvu chomoa dude(supp) hilo kwanza litaleza madhara ma.ta.koni!
Hahahaaa unauliza Nzi kwenye bucha ya utumbo, yaani unamuuliza mhandisi mzima wa NICTBB with hons. eti anaijua shule ya UDSM ama la? We mtoto we, temea mate chini, utadisco nikikukosea radhi!
Unafikiri kwa ------ badala ya kichwa wewe, nambie Leo Luna Pro. Luhanga hapo?, kuna Prof Mark Mwandosya hapo? kuna FOE hapo? Kuna Mr. Punch hapo, kuna mabasi ya wanafunzi hapo? Kuna DCM zinafuata wanafunzi hapo kwenda SILENT IN Kila weekend hapo? Boom lilikua sh ngapi? Answer those questions...
Usijitetee wewe si wa kwanza kubukua hapo, watu tumepita hapo tena kitambo wakati muhandisi unatoka muhandisi kweli sio sasa hivi michakachuo kibao...mimi ni graduate wa 2002 nafahamu A-Z za hapo mlimani, wanaoshikwa vilaza wacheza viduku na disco!
Dalili zinaonesha mapemaa hiyo supp huchomoi itakudaka tena maana sababu unazotoa hazina kichwa wala miguu atakudakeni hata buku nyie kama vilaza Dr afanyeje ni kula vichwa tu!
Jamaa kama unaogopa kwamba labda binti anaweza akajishebedua hadi mama ashtukie baada ya kumkaanga, dawa usipige kwenye mimaji wee mfumue MARINDA tu atakua mdogo kama pilton heshima na adabu!
Unachanganya habari kueleweka ngumu hivi mtoa mada umeoa au ni wale ambao ndo mnaanza mapenzi? Kwenye issue ya mke na mume hakuna hiyo kitu ya kupigana mizinga. Vibiriti ngoma ndo wanaopiga mizinga!
Ukimpuliza ndo umeharibu kabisa maana atakua ametimiza lengo, hapo atakuburuza anavyotaka utabaki haha hehe hoho Kuwa mkali huwezi mama atajua wala huwezi Kuwa na maamuzi tena utakua umekwisha binti anatamba mjengoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.