Utata wa Voda na Jay milioni

Utata wa Voda na Jay milioni

jamani basi mwenzenu nikawa nanunua muda wa maongez kutoka mpesa..kila nikinunua inakatwa yote.nikawa sielewi basi kuna mshkaj akanikumhusha kuna jaymillnyoko sijui..aisee nilikasirikaa..wakati cjawah hata kujiunga..popote ulipo wewe unaehusika na vodanyoko...SHE*N-ZI TYPE. nyau wewe na mnirudishie hela yangu. mnajua naitafutaje??
 
Ushaambiwa, vodacom kazi ni kwako. Ha haa haa. Hebu tuma meseji, mamilionea tuongezeke banaa, yaani wao ndio waongezeke na mihela yenu
 
Airtel ndio wakweli voda majambazi tu.
 
hawa hata sithubutu kushiriki promosheni yao yoyote.
 
Hayo ni Majambalika toka kitambo wizi wameanza zamani sana, Sisi werevu tumeshaachana nao mda, laini zao zipozipo tu kwenye simu kwa jili ya kupigiwa na washikaji wengine wenye laini za hao wezi, sisi mitandao yetu tiGo, Airtel n.k.
Sasa watu mnlalamika nn na alalae usimwamshe?....Mtaendelea sana kupigwa hadi mkome
 
Waezi tuuu!! kwa mjibu wa matangazo yao ni kuwa kila siku kuna mshindi akanamata bingo la m100, kumbe tena kuna vya bahati nasibu????????
 
tuliomo humu sidhan kama kuna watu wanaweza kujihusisha na huu upuuz,huu wiz unawaumiza sana ndugu zetu ambao kidogo elimu waliikosa mi naumia sana kuona mijizi vodacom inavyoibia watu
 
jamani basi mwenzenu nikawa nanunua muda wa maongez kutoka mpesa..kila nikinunua inakatwa yote.nikawa sielewi basi kuna mshkaj akanikumhusha kuna jaymillnyoko sijui..aisee nilikasirikaa..wakati cjawah hata kujiunga..popote ulipo wewe unaehusika na vodanyoko...SHE*N-ZI TYPE. nyau wewe na mnirudishie hela yangu. mnajua naitafutaje??

ahaaaaaahaaa mkuu umenifurahisha lol
 
tokea januari hadi april wametoa tsh 178 tu...
mbona kidogo sana.

kweli hawa voda ni wezi.
 
ni mATAPELISANA TENA SANA MM WANANITUMIA VIMESEJI VYAO VYA NIPASHE SIVIPENDI KWANI VINANIMALIZIA BANDO LANGU YAANI NIKIWATAFUTA CUSTOMER CARE WANAJIBU KWA NYODO NA WALA HAWASHUGHULIKII VYEMA WATEJA WAO NATAKA KUWAHAMA MAANA NAONA NI MIZINGUANO TUPU
Kwanza hawa Voda ukisahau tu hela yako kwenye akaunti ambapo umeacha data za internet on umeliwa, hata uwe na 1000000 utakuta hakuna. Na mpaka uwapate customer care kwa ufafanuzi ni kazi.
 
Mnaopenda kuteleza juu ya ganda la ndizi mtaumia sana,hizi promotion ni wizi tu hakuna cha mil 100 wala ist ni usanii juu ya usanii.
 
Vodacom wanasema "Kazi ni kwako"... Wakiwa na maana kuwa "UTAJIJU"........
 
Hakuna mchezo wa hela..Voda ni wezi sana hilo halina ubishi, mimi nilijiunga na kifurushi cha voda cha sh1999 anbayo walinipa dakika 29, nilipiga cm moja ambayo nilitumia sec 34 wakanitumia ujumbe salio langu la cheka limekwisha
 
Back
Top Bottom