Sarafu ya sh 500 haina ubora!

Sarafu ya sh 500 haina ubora!

huwezi kuelewa tunachoongea hapa kama hujui kemia ya kupata kutu kwa chuma. hebu rudi darasani kwanza.
Na hili nalo kumbe ni Siasa.
Kazi kweli,zinatoka mtaumbuka humu.

Keleleee za bure,zikitoka uzi utaanzishwa tena,leo hata sina la kujibu.
Subiri kuumbuka,hapo ndio tutajua shule yako na yangu.
Yaani unajifanya kujuza kuliko Jopo la waratibu wa utengenezaji wa pesa hizo.Kazi kweli watu waliosomeshwa na kijiji wakija mjini kila kitu ushamba.
 
nalo neno.
unafikiri mkuu sasa utafanya nini angekuwa ni mdogo wako hata ungempiga makofi kama ni mzazi hata unamfokea ilimradiaone umechukia ila sasa hawa sijui utawafanya nini sasa
 
rahis angeachana na urahis kama anashindwa kuzielewa sector kubwa kama hii kwa sababu fedha ndio inayotumika kuleta maendeleo
 
Halafu mimi huwa najiuliza,

Hawa jamaa wanaouza chenji baranarani utakuta kazipanga sarafu mezani na zote nimpya kabisa meza nzima zinameremeta, wanazipata wapi hizo mpya kwa wingi hivyo?
 
Aachane nao vipi.....
nimemaanisha rahis ameshindwa kuisimamia sector ya fedha katika kipind chake kutokana na anguko kubwa la thaman ya shiling hali inayopelekea kuchapishwa kwa pesa zisizo na ubora na hatimaye sarafu ya sh 500.kumbuka 2lishakuwa na not ya sh 200 siku za nyuma na ilibadilishwa kuwa coin kutokana na kushuka kwa thaman ya pesa na ongezeko la gharama za uchapishaji na ndivyo inavyo fanyika kwa not ya sh 500 na hatimaye itakuja sh 1000 ya coin.
 
Back
Top Bottom