Recent content by The original

  1. T

    Meneja Afrika Mashariki: Bolt inaweza kusitisha huduma Tanzania

    Ukitaka kujua utamu wa ngoma ingia ucheze sio kuangalia matumbo yetu tu
  2. T

    Meneja Afrika Mashariki: Bolt inaweza kusitisha huduma Tanzania

    Sahihi kabisa hasa ukichukulia bei za mafuta vipuli na hata atitude za baadi yetu a abiria utakuta mtu anaita bolt inafika anamuweka mtu mpk dk 20 afu hio haiesabiwi au anarequest unafika anacancel umbali iluotoka mafuta uliotumia vyote havina maana kwa bolt hawakucompesate kwa lolote shida ni...
  3. T

    GE2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

    Hiyo ndo sisi wana wa Africa tunasema adui muombee njaa, hakika nawaambieni hakuna mwanasiasa atakaeiona pepo maneno yooote hamna kitu (hapo tumeona tofauti ya mwanaume na mwanamume).
  4. T

    Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote

    Nasema km kuna kiama kweli kama dini zinavotueleza hakuna politician ataekwenda peponi wallah kumbe kuna mahela ya covid tulipewa yalifanya nini na watu karantini walijilipia?NO POLITICIAN WILL GO TO HEAVEN..
  5. T

    GE2020 Mtu msafi kiroho hahitaji nguvu kubwa kushawishi watu bali kazi zake zitaonekana tu...

    Imani yangu inanikataza kushirikiana na watu au vitu viovu sasa ninapoona watu wakipanda jukwaani kutuhubiria mambo mazuri alafu watu haohao wanatumia watu ambao si wasafi kiroho kuvutia umati ujae ili kuwakiliza napata taabu sana kuwaelewa watu hawa tena utawasikia wakitoa ahadi na viapo...
  6. T

    GE2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

    Kiukweli bila kupepesa macho maendeleo ya watu sifuri kabisa maendeleo ya vitu kidoogo tunaenda sie watu wa chini tunahitaji sana maendeleo yetu km watu yaan uhakika wa milo 3,niweze kumudu garama za matibabu niwe na makazi ya uhakika nk but asa ivi balaa hali ngumu mno kuliko wakati wowote...
  7. T

    GE2020 Kauli ya Msigwa kuhusu Urais na kumuachia jimbo Steve Nyerere

    Usiondoke bro cc hatukuchagua chama tulichagua msigwa unataka kutuachia vichaa watuwakilishe ukiondoka tutampa another msigwa yahya dk km atachukua fomu hata ya TLP tutampa tu kuliko kumpa hayawani.....wapi mwakalebela??!!
  8. T

    GE2020 Steve Nyerere achukua fomu ya Ubunge Iringa Mjini - CCM

    Aje tu ajifunze jinsi wazawa tunavo oparate CCM wakimuweka imekula kwao watadhihirisha Kuwa kweli wao ni jalala hatumtaki hata kumuona ahege uko
  9. T

    Milango ya kuelekea kuzimu kutokea duniani

    U have seen the light ndugu jah bless u
  10. T

    GE2020 Angalizo: Kumdhibiti Godbless kunahitaji " timing" vinginevyo watatumbuliwa watendaji wote wa Arusha!

    Umepotea ndugu LEMA ni jembe miongoni mwa wanasiasa vijana hodari huo ni wivu tu
  11. T

    Egyptians didn't build Pyramids, Aliens did

    True na ukweli ni kwamba hawataki kuukubali ukuu wa mtu mweusi but no matter what games&skims they do at the end they will aknowledge ukuu wa mtu mweusi time will tell wait and see
Back
Top Bottom