Wakuu habari zenu!
Ninaomba kujulishwa kuhusu tangazo la nacte la tarehe 23 january kuhusu kufunguliwa kwa dirisha la udahili wa ngazi za cheti na stashahada .
Moja ya sifa za mwombaji wamedai kua awe amememaliza kidato cha nne kuanzia mwaka 2015 na kurudi nyuma, sasa ningepe kuuliza je...
Huyu jamaa kila siku mara wapiga dili, mara mafisadi, mara kuna mtu ana mzigo bandarini anataka kuingiza bila kodi kwa nini asiwataje wakajulikana?, yaani uongo uongo tu, ili kuwa laghai wanainchi maskini wasiopewa haki zao stahiki kulingana na kodi zao.
Katugeuza misukule wake, mtu hasie na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.