Recent content by The Negro

  1. The Negro

    Application NACTE kwa form four 2016 inakubalika?

    Mueleweshe basi hapa na wengine tuelewe mkuu!
  2. The Negro

    Application NACTE kwa form four 2016 inakubalika?

    Mbona wamesema kuanzia waliomaliza 2015 kurudi nyuma?
  3. The Negro

    Sifa za mwombaji NACTE 2017, waliomaliza 2016 hawaruhusiwi kuomba?

    Wakuu habari zenu! Ninaomba kujulishwa kuhusu tangazo la nacte la tarehe 23 january kuhusu kufunguliwa kwa dirisha la udahili wa ngazi za cheti na stashahada . Moja ya sifa za mwombaji wamedai kua awe amememaliza kidato cha nne kuanzia mwaka 2015 na kurudi nyuma, sasa ningepe kuuliza je...
  4. The Negro

    Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara

    Huyu jamaa kila siku mara wapiga dili, mara mafisadi, mara kuna mtu ana mzigo bandarini anataka kuingiza bila kodi kwa nini asiwataje wakajulikana?, yaani uongo uongo tu, ili kuwa laghai wanainchi maskini wasiopewa haki zao stahiki kulingana na kodi zao. Katugeuza misukule wake, mtu hasie na...
  5. The Negro

    Waziri Mkuu afuta posho kwa watumishi wa umma nchini

    duuuh! Ngoja tuisome namba.......
  6. The Negro

    Ruby! sifa zimemponza

    [emoji12] [emoji12]
  7. The Negro

    Chuo kipi kizuri kwa ajili ya kozi ya famasia?

    We mdau bhana..... sijui una elimu gani...:rolleyes::rolleyes:
  8. The Negro

    Zaidi ya asilimia 91 wakosa mikopo KIU

    wewe ndio wa hovyo kwa kuropoka huko bila uchunguzi
  9. The Negro

    KIU medicine wako juu!

    :D:D:D mkuu jamaa kanichekesha sana kaja juujuu, kumbe elimu kaachana nayo miaka ya 80
  10. The Negro

    KIU medicine wako juu!

    hahahahaha! nimependa ulivyo ni criticise kwa ujasiri, utadhani nimekosea pole sana
Back
Top Bottom