Application NACTE kwa form four 2016 inakubalika?

Wise Sister

Member
May 27, 2014
52
51
Heshima kwenu wadau, naomba mnisaidie mwenye uelewa. Mfumo wa nacte kufunguliwa Sasa mpaka March ni kwa waombaji wote mpaka waliomaliza form four 2016 au ni kwa miaka ya nyuma tu?

Maana nimejaribu kufuatilia vigezo naona havijawataja kidato cha Nne 2016 na hata list ya vyuo vinavyoonekana si vyote. Kama ndivyo, je maombi kwa form four wa 2016 yataanza lini? Asanteni Sana ndugu zangu
 
Yap ni waombaji wote mpaka waliomaliza 2016
Mbona wamesema kuanzia waliomaliza 2015 kurudi nyuma?
009bcf4271ee9c8c1b5e62e0e9e3c85d.jpg
 
Jaman kwa anayefahamu kama wahatimu wa form iv 2016 wameanza kuapply koz za afya na ualimu kupitia nacte, msaada tafadhari
Mpaka mwezi wa tano,mana kina baadhi ya informations zenu bado zipo necta,hivyo itanguwa ngumu kuapply for now.hii ni kwa wale waliomaliza 2016 only.waliomaliza nyuma ya huo mwaka hata sasa nacte walifungua maombi ya kujiunga wanafungwa mwezi wa tatu kwenye kama tarehe nane.Hawa wataanza masomo mwezi wa nne.
 
Mpaka mwezi wa tano,mana kina baadhi ya informations zenu bado zipo necta,hivyo itanguwa ngumu kuapply for now.hii ni kwa wale waliomaliza 2016 only.waliomaliza nyuma ya huo mwaka hata sasa nacte walifungua maombi ya kujiunga wanafungwa mwezi wa tatu kwenye kama tarehe nane.Hawa wataanza masomo mwezi wa nne.
Kwahiyo mwezi wa tano kuna intake ya pili
 
Heshima kwenu wadau, naomba mnisaidie mwenye uelewa. Mfumo wa nacte kufunguliwa Sasa mpaka March ni kwa waombaji wote mpaka waliomaliza form four 2016 au ni kwa miaka ya nyuma tu?

Maana nimejaribu kufuatilia vigezo naona havijawataja kidato cha Nne 2016 na hata list ya vyuo vinavyoonekana si vyote. Kama ndivyo, je maombi kwa form four wa 2016 yataanza lini? Asanteni Sana ndugu zangu
 
Back
Top Bottom