Usije ukathubutu kufanya mobile transfer utakuja kutoa ushuhuda hap jf. Nilihamisha 200k past three weeks ago iyo government levy ilikua zaidi ya 9k unless nilikua special case.
Gym na business cards ni unnecessary moves ambazo zitakuongezea gharama za uendeshaji. Ushauri wangu kula vizuri, fanya kazi sehemu yenye movement nzuri na uaminifu kwa wateja wako utatoboa.
Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 inatija kubwa kwa taifa na raia kwa ujumla, kilichobaki ni utekelezaji na usimamizi yakinifu katika kusimamia yale yote yaliyoidhinishwa kwenye bajeti hiyo.
Mara nyingi ukiwa na cash in bulk (fast track) lazima ukutane na meneja wa benk mzungumze na moja ya mazungumzo ni kujiridhisha na exactly source of money. Sio vibaya kwenda na maelezo yaliyo nyooka otherwise endelea kutunza kwenye kibubu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.