Ahmet
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,537
- 3,404
Katika kufanya maomba ya kazi zilizotangazwa na TAMISEMI, waombaji wengi tumekutana na changamoto hii kubwa. (Hasa upande wa elimu, sijui upande wa afya kukoje)
Katika kipengele cha kujaza taarifa za chuo, Baada ya ku-search chuo then unatakiwa kuselect course uliyosoma, lakini kwa bahati mbaya, courses nyingi hazidisplay (hazionekani) katika mfumo.
Shida ni kuwa huwezi kuandika jina la course mwenyewe bali unaselect kama nilivyosema hapo awali. Hili tatizo liko kwa waombaji wengi. Lakini vilevile hili tatizo lipo tangu mwaka Jana na naona bado halijafanyiwa utatuzi.
Tunawaomba TAMISEMI wa-add courses zifuatazo ili kila mwalimu afanye application bila tatizo lolote.
Kama nawewe unapitia changamoto hii karibu tudiscuss kivipi tunaweza kuitatua.
Katika kipengele cha kujaza taarifa za chuo, Baada ya ku-search chuo then unatakiwa kuselect course uliyosoma, lakini kwa bahati mbaya, courses nyingi hazidisplay (hazionekani) katika mfumo.
Shida ni kuwa huwezi kuandika jina la course mwenyewe bali unaselect kama nilivyosema hapo awali. Hili tatizo liko kwa waombaji wengi. Lakini vilevile hili tatizo lipo tangu mwaka Jana na naona bado halijafanyiwa utatuzi.
Tunawaomba TAMISEMI wa-add courses zifuatazo ili kila mwalimu afanye application bila tatizo lolote.
- Bachelor of Arts with Education (BAEd)
- Bachelor of science with education (BSc Ed)
- Bachelor of Education in arts (BEDA)
- Bachelor of Education in Science (BEd Sc)
- Bachelor of Education in psychology (B.Ed PSY)
- Bachelor of Education in policy planning and management (B.Ed PPM),
- Bachelor of Education in guidance and counselling (B.Ed GUCO)
- Bachelor of Education in science (B.Ed Sc),
- Bachelor of Education in special education (B.Ed SPED)
- Bachelor of Education in adult education and community development (B.Ed AECD)
- Bachelor of Education in science with ICT (B.Ed Sc ICT)
- Bachelor of Education in early childhood education (B.Ed ECE)
- Bachelor of Education in physical education and sport science (B.Ed PESS)
- Bachelor of Education in primary education
- Bachelor of Education in commerce (B.Ed COM)
- N.k.
Kama nawewe unapitia changamoto hii karibu tudiscuss kivipi tunaweza kuitatua.