Recent content by The Humble Dreamer

  1. The Humble Dreamer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    😄😄😄 Kwamba waje kuchukua njumu wakafunge wao wenyewe
  2. The Humble Dreamer

    Matokeo darasa la nne yamechelewa sana

    J3 kivipi ilihali masomo ndiyo yanaanza kwa kidato cha 3 na darasa la 5?
  3. The Humble Dreamer

    Matokeo darasa la nne yamechelewa sana

    F2 yanatoka leo au kesho ila F4 wacheze nayo kwanza
  4. The Humble Dreamer

    Matokeo darasa la nne yamechelewa sana

    Hivi hawajamaliza bado mpaka leo? Nimejiuliza mbona ni tofauti na miaka ya nyuma, wiki 3 tu wamemaliza F2 na F4
  5. The Humble Dreamer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Arsenal kapigwa chuma cha pili, odd 3 zinaondoka
  6. The Humble Dreamer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Westham kushinda hii mechi ana odd 3 ilihali anaongoza 1 huku Arsenal ana 2.5, unaweza weka inplay westham ashinde akapigwa
  7. The Humble Dreamer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mmmh Yan ile GG ya Brighton ilikua na 1.37 betway, matumaini hakuna tena na tot kapigwa la 3 sasa. Ni vurugu tu
  8. The Humble Dreamer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tottenham kunani tena! Maji yanajaa unga
  9. The Humble Dreamer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yan basketball hapana.. mwanzo kipindi cha 1,2 wanafunga 35+, kipindi cha 3 kinaingia wanafungana 16, sasa najiuliza shida ni kukusanya nguvu za quarter ya 4 ?
  10. The Humble Dreamer

    Nyumba ya bei ndogo kabisa Tanzania

    Mijengo mikubwa kwako ni ya bei gani?
  11. The Humble Dreamer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Niliona hizo odds 70 nikaacha maana nilihisi Ajax anashinda bila woga
  12. The Humble Dreamer

    Simon Msuva apewa mkono wa kwaheri na JSK

    Kwanini asiende kule 'Nguvu Moja'?
  13. The Humble Dreamer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    D59483 Sportybet Edit code hiyo upate hela
Back
Top Bottom