Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

Hii safari haijawahi kuwa rahisi. Kwa wakongwe kama wewe mnajua tumepitia mangapi.

BTW, nakuzawadia pia Platinum Membership kwa kuwa active since 2007!

Well APPRECIATED.

Actually, nilikuwepo tangu 2006 baada ya Jukwaa la CBS la Nyaulawa (RIP) kufungwa na akina Mwanakijiji, Mkandala, Nyani na Mwalimu Augustine . Niliregester immediately na baadaye kureregester tena upya hiyo 2007. All the Way Mkuu.

Bila kumsahau Sauti ya Zege (Field Marshall) aka LeMutuz (RIP).
 
Nilipokua mdogo niliambiwa nikiwa mkubwa nitakuwa na busara na mafumbo kibao ila hadi nimefika hapa sijafikia kiwango cha Max kutuhamishia wengi wetu Rwanda na nchi jirani katika salamu zake za shukrani, wakati anafahamu tupo naye hapa hapa Bongo ili mradi tu kakwepa mtego wa TCRA na ugomvi wao wa Vipieni
😅😅Hata sisi wa France tumetambulika leo
 
Nilipokua mdogo niliambiwa nikiwa mkubwa nitakuwa na busara na mafumbo kibao ila hadi nimefika hapa sijafikia kiwango cha Max kutuhamishia wengi wetu Rwanda na nchi jirani katika salamu zake za shukrani, wakati anafahamu tupo naye hapa hapa Bongo ili mradi tu kakwepa mtego wa TCRA na ugomvi wao wa Vipieni

Mkuu inaonekana wewe peke ako ndo upo bongo 😂
 
Mkuu naomba unicheck pm.
Screenshot_2025-09-10-21-00-08-11_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Back
Top Bottom