Recent content by The ghost writer

  1. The ghost writer

    Mapinduzi ya Mijadala JamiiForums: Zana Mpya za Akili Unde (AI) zinakuja Wikendi hii!

    Ni lini mtatuwekea kipingele Cha ku stream live na contents za videos pamoja na reels.
  2. The ghost writer

    Kisa changu cha Sinza

    ....
  3. The ghost writer

    Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Hapo shambani anapiga kazi kaajiliwa na binti wengine pamoja na vijana wapo humo.
  4. The ghost writer

    Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Hapana hizo mishe anafanya real. Mcheki insta fuatilia post vizuri .
  5. The ghost writer

    Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Kwahiyo unataka kuniambia hapo shambani anazuga apigi kazi sio😅?
  6. The ghost writer

    Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Urembo wako usiwe guarantee ya kudate na wanaume kibao Ili wakuweke mjini. Acha kushinda saloon binti acha kushinda mtandaoni kutingisha makalio, kurembuarembua Ili upate likes. Kama mrembo, mbona warembo wapo kibao na wengine walishaiga dunia. Na bado kuna wengine daily wanazaliwa. Punguza...
  7. The ghost writer

    Mshahara laki mbili mkoani, au nijilipue Dar?

    Usije mjini. Huku Dar usumbufu tu.
Back
Top Bottom