Halafu mama yake akilipwa tu anasahau moja kwa moja! watanzania ni wabinafsi tu, kinachomfanya mtu aichukie ccm ni shida za kwao tu, kama kwao mambo ni mazuri hataona umuhimu wa kujua wengine wanataabika vipi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.