Zidisha ukaribu na mama awe zaidi ya rafiki,mwingie kisaikolojia kwa kumchota mawazo as tatizo liko kwa rafiki yako,reaction yake itakupa jibu either kimwonekano au atavojibu vocally,hapo ndipo utapojua anajua au hajui,je umwambie au usimwambie,yote ni kutokana na ulivomwingia
Pisi Kali za chuga huu mwandiko ndo zinauelewa arifu,nenda na kidaslam chako utakula mitoso mpaka ufunge ndoa ya kudumu na mikono yako(nyeto)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshalishana kiapo cha siri,kisha unaomba ushauri huku,hivi unajua maana ya kiapo kweli?misingi na madhara yakukiuka mliyonuia?Msipende kujiingiza ktk matatatizo bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.