Hii maana yake nini?

Hii maana yake nini?

Heshima kwako mkuu,inaonekana wewe ni mkongwe humu if lakini hutaki kuolewa,Fanya upate mwenza wako ili utulie,Msaada: Nilibakwa na majambazi nimepata ujauzito
[/Q

Naona unanihurumia njoo unioe nipumzike
 
Kumpiga mwanamke wako vibao vya makalio tena vya nguvu?

Kwa kweli sipendi hi tabia, na sijui anakua anamaanisha Nini, last week nimepigwa vibao vya makalio vya nguvu Hadi nikatoa machozi wakati wa kunyanduana, cha ajabu mwenzangu anazidisha.

Hivi wanaume kitendo hiki maana yake ni Nini? Nikunikomesha ? Coz nakumbuka maneno alokuwa anatamka ananambia kwanini nikikuomba uniletee huniletei , huku ananichapa vibao vya makalio.

Yaani nimeapa simpi tena kwa kitendo alichonifanyia.
Punguza kuomba hela na kumsumbua na magharama yasiyo ya lazima utaona kama atakuwa anakulamba vibao vya makalio hovyo
 
Kumpiga mwanamke wako vibao vya makalio tena vya nguvu?

Kwa kweli sipendi hi tabia, na sijui anakua anamaanisha Nini, last week nimepigwa vibao vya makalio vya nguvu Hadi nikatoa machozi wakati wa kunyanduana, cha ajabu mwenzangu anazidisha.

Hivi wanaume kitendo hiki maana yake ni Nini? Nikunikomesha ? Coz nakumbuka maneno alokuwa anatamka ananambia kwanini nikikuomba uniletee huniletei , huku ananichapa vibao vya makalio.

Yaani nimeapa simpi tena kwa kitendo alichonifanyia.
Mwambie akuchape taratibu sio kwa nguvu sana. by the way, inaongeza mzuka kwa Mwanaume, hata maneno machafu pia yanaongeza mzuka.
 
Kama una mzigo wa kutoshaa acha upigwew vibaooo sema kama jamaa kakomaa mikono pole sanaa Mwanaumw mchimba kokotoo au fundi gerejii haa ha utajutaa mbonaa.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Mbona ni kawaida sana hiyo..wewe ni mgeni hapa mjini?..
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa si ungemwambia kwamba anakuumiza hivyo aache kukupiga? Ila kuna baadhi ya wanawake wana enjoy mateso pia wakati wananyanduliwa kama vile kuvutwa Nywele kupigwa vibao matakoni au mashavuni wengi hudai huwasaidia kufika kileleni haraka. Mie naona ni maajabu starehe ya utamu iweje tena iambatane na mateso. Pole sana sasa wakati anakuzaba vibao vya makalio ulikuwa style ipi? Nauliza tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Kumpiga mwanamke wako vibao vya makalio tena vya nguvu?

Kwa kweli sipendi hi tabia, na sijui anakua anamaanisha Nini, last week nimepigwa vibao vya makalio vya nguvu Hadi nikatoa machozi wakati wa kunyanduana, cha ajabu mwenzangu anazidisha.

Hivi wanaume kitendo hiki maana yake ni Nini? Nikunikomesha ? Coz nakumbuka maneno alokuwa anatamka ananambia kwanini nikikuomba uniletee huniletei , huku ananichapa vibao vya makalio.

Yaani nimeapa simpi tena kwa kitendo alichonifanyia.
 
Mimi pia alikuwa na tabia km hyo ya kupiga vibao na vinauma kweli lakin nilimwambia ilikua ngumu kuacha ilikua km ndo mazoea yke lakin alikuja kuacha kabisa mpk sasa hivi hana hyo tabia. Tabia ya ajabu sana hii
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nadhani ungemwambia muusika..KUWA anakuumiza akikuzaba makofi ya kalio...hivyo inakutoa kwenye kupenda kufanya tendo na Yeye....
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
sasa si ungemwambia kwamba anakuumiza hivyo aache kukupiga? Ila kuna baadhi ya wanawake wana enjoy mateso pia wakati wananyanduliwa kama vile kuvutwa Nywele kupigwa vibao matakoni au mashavuni wengi hudai huwasaidia kufika kileleni haraka. Mie naona ni maajabu starehe ya utamu iweje tena iambatane na mateso. Pole sana sasa wakati anakuzaba vibao vya makalio ulikuwa style ipi? Nauliza tu
Hao watakuwa wakurya
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Ulikuwa unamwambia kama anakuumiza? Kama ulimwambia alikujibu nini?
Mimi pia alikuwa na tabia km hyo ya kupiga vibao na vinauma kweli lakin nilimwambia ilikua ngumu kuacha ilikua km ndo mazoea yke lakin alikuja kuacha kabisa mpk sasa hivi hana hyo tabia. Tabia ya ajabu sana hii
 
Ulikuwa unamwambia kama anakuumiza? Kama ulimwambia alikujibu nini?
Nilivomwambia tu kua ananiumiza alaf pia sipendi kufanyiwa hivo alikua muelewa wala hakutaka kuhoji kwanini. Akawa anajitahidi kutofanya mpk akaja kuzoea
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wataalamu fulanj husema hiyo urudisha fikra zako eneo husika.

Yaan kama mna sex halafu unamvutia mwingine hisia, basi wanasema vibao huondoa hiyo hali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom