Recent content by The choosen one

  1. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Voxmart: Simple ecommerce web app

    Ila Ila wee jamaa 😅
  2. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo la msingi nataka kuwafundisha humu

    Huyu Itakuwa amecopy aka paste kwenye AI itafsiri kwa Kiswahili halafu akatuporomoshea kama yalivyo, sidhani kama mtu mwenye akili zake anaweza andika vibaya hivi, ni bora mara 100 ungepaste kwa Kiingereza hicho hicho au ukatafsiri mwenyewe kuliko kutumia AI kutafsiri unaonekana wa ajabu sana...
  3. The choosen one

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Polisi zaidi ya 10 wakimshambulia mwananchi aliyefika mahakama kuu kufuatilia kesi ya Lissu

    Sio kwa ubaya, Lakini mmemuona wa Black t-shirt anavyojaribu kufanya kama hausiki na kinachomtokea Mwenzake. 😅🙌
  4. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Ni kweli mama yako mzazi ukimkosea, kwa hasira akavua nguo(kumwaga radhi) mtoto unakuwa kichaa?

    Kama ni mrogi nikweli kama Sio basi sio kweli 😎
  5. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Askofu gwajima anawajua wasiojulikana, ushahidi huu hapa.

    Zaidi ya hapo ana waumini tofauti tofauti wenye nyadhifa tofauti kwenye nchi hii
  6. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Askofu gwajima anawajua wasiojulikana, ushahidi huu hapa.

    Kabisa
  7. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Wakenya watoa tahadhari kwa Watalii na Wageni kutembelea Tanzania kutokana vitendo vya Utekaji, Utesaji

    Hii ni maajabu yaani Jaji mstafu wa nchi unauliza ana pesa gani za kutalii tena Tanzania tu hapa🤔,? Kwani akili huwa mnashikiwa?
  8. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wa Nje: Acheni Tabia Mbaya ya Kuingilia Mambo ya Ndani ya Tanzania

    Tena ndu Tena Ndugu wa Damu kabisa, kuna watu hawajui hili, the same kwa baadhi ya watanzania
  9. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Haya ndio majibu na uchambuzi wangu mzito na wa kina kwa hotuba ya Askofu Dkt. Gwajima

    Mkuu kwani unataka tumsahau ndugu mchambuzi😁, ushauri gani huo unampa. Maana mwenzake Record zinaonesha hajawahi poteza pambano 😄
  10. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Watamjibu na Askofu Gwajima?

    B Bashite na Mond watakuwa mashahidi wazuri sana 😂 wa hii kauli yako. "Almasi(Mond )itageuka kuwa maji taka"& "nimekufuta kwenye ulimwengu wa siasa na uongozi(Bashite)" mwisho wa kunukuu
  11. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Watamjibu na Askofu Gwajima?

    Sio Helicopter na ndege bado ipo
  12. The choosen one

    JamiiForums Tanzania Hoja sita juu ya Martha Karua kuzuiliwa kuingia nchini

    Kwani observer na yeye anatetea au kiingereza kilipita kushoto mkuu, unaelewa maana ya "observer"
Back
Top Bottom