Recent content by THE BULL

  1. THE BULL

    Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

    Achana na modem tumia sim yako kama wireless network Scroll down kwenye sim yako upate ukurasa ule wa data, Bluetooth na wifi Utaona Kuna kitu kinaitwa hotspot then utajiunga kuhusu namba ya siri ni yoyote utakayotaka ili kuepuka watu kutumia network yako. Asante.
  2. THE BULL

    Nataka kujaribu Kilimo Cha Samaki

    Shughuli hiyo ni nzuri na inalipa sana kama utaweka nia na utakuwa tayari kufanya hivyo Lakin Kwa upande wa wafadhili ngoja waje wenye kuwajua watujuze.
  3. THE BULL

    Pesa za mitaji hizo vijana kachukueni

    Hivi hizo fedha kwanza ni kiasi gani?
  4. THE BULL

    Unataka product huzi za nje kwa bei nafuu, nusu ya zinavyouzwa bongo

    Lakin transportation na kodi inakuweje?
  5. THE BULL

    Wapi ntapata short courses za ufugaji wa nyuki,samaki,kilimo hususani kilimo cha kisasa

    kama unahitaji ufugaji wa samaki Ingia website hii www.fetanyegezi.ac.tz
  6. THE BULL

    Tanzania cigarette company limited

    Jaman kwa wenyeji wa mwanza naulizia Mahali ilipo branch ya hii company ya sigara Tanzania.
  7. THE BULL

    Uuzaji wa vocha za simu

    OK poa mkuu nimekuelewa
  8. THE BULL

    Uuzaji wa vocha za simu

    Ndg wanajamvi nahitaji kuanzisha biashara ya uuzaji wa vocha za simu kwa bei ya jumla, Je inahitaji pesa kiasi gani ya mataji kuanzisha hiyo biashara? Naombeni mnijuze ndg Zangu.
  9. THE BULL

    This is so funny:

    Watu wana maneno!!!! Duuuh! "Kikwete kila anapokwenda anatembea na Magufuli kwasababu anahofia akimuacha peke yake atahamia UKAWA"
  10. THE BULL

    Marafiki wa kuchart nao

    Mimi nipo Mwanza natafuta marafiki wa kuchart nao pamoja. Jinsia zote na dini zot sibagui. Walio tayari wanitumie sms private
  11. THE BULL

    Gharama za Ukataji Passports/Hati ya kusafiria nje ya nchi

    Asante sana mkuu nimekusoma nitajitahidi kufanya hivyo ili niweze fanikisha hili jambo.
  12. THE BULL

    Gharama za Ukataji Passports/Hati ya kusafiria nje ya nchi

    Jamani wadau, Naomba mnisaidie kujua gharama za kupata hati ya kusafiria nje ya nchi.
  13. THE BULL

    Pinda na Membe Hapatoshi: Waapa kushughulikiana katika mbio za 2015

    baba kalume na nyerere mlipanda mahindi vizuri lakin vipi tena hawa gedera wametoka wapi? hapo hakuna cha membe wala huyo anaejiona ni bora.
Back
Top Bottom