Achana na modem tumia sim yako kama wireless network
Scroll down kwenye sim yako upate ukurasa ule wa data, Bluetooth na wifi
Utaona Kuna kitu kinaitwa hotspot then utajiunga kuhusu namba ya siri ni yoyote utakayotaka ili kuepuka watu kutumia network yako. Asante.
Shughuli hiyo ni nzuri na inalipa sana kama utaweka nia na utakuwa tayari kufanya hivyo
Lakin Kwa upande wa wafadhili ngoja waje wenye kuwajua watujuze.
Ndg wanajamvi nahitaji kuanzisha biashara ya uuzaji wa vocha za simu kwa bei ya jumla,
Je inahitaji pesa kiasi gani ya mataji kuanzisha hiyo biashara?
Naombeni mnijuze ndg Zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.