Recent content by The big gun

  1. T

    Kutoka Uwanja wa Furahisha: Ibada ya kuaga mwili wa Alfonce Mawazo

    Usipende kufikiria jambo kingali akili imelowana.mtoto ana haki ya kumuona babake katika hali yoyote awayo,muda wowote.subiri ufe wewe ufiche wanao wasikuone
  2. T

    Unataka nyumba/kiwanja, hakikisha haya kisheria usitapeliwe

    Asante umenipa dawa dhidi uporwaji fedha zangu zidi ya waganga wa jadi kisa eti tuloge ili tushinde kesi kumbe sivyo
  3. T

    Hii itakusaidia ndani ya mwaka mmoja utaanza kuishi bila kutegemea mshahara wa mwajiri

    Usifanye biashara mtandaoni toa elimu na wengine watoke
  4. T

    Pinda: Halmashauri zote nchini ziache kutengeneza madawati ya mbao

    E!kamaliza nyumba yake nini! hivi kaona madawati pekee ndio yanayomaliza miti.kama miti ipo haijamaliza tatzo plastik je
  5. T

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini, Amani Walid Kabourou akataliwa mbele ya Dr. Magufuli

    Wasiishie kupunga mikono ya kumkataa waende hadi kwenye sanduku la kura
  6. T

    Lazima mjue kutofautisha

    Lowasa na Magufuli
  7. T

    Je, wajua kuwa wanawake wengi wana nguvu fulani kwenye maziwa yao?

    Kweli,ndio maana unaweza kuona titi likakuvuta ila ukaona utupu ukadharau
  8. T

    Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

    We unafikiri ukimyima mnayeheshimiana nae kama kaka utapata tuzo?
  9. T

    Je, Mungu anaweza kukupa mke mwingine iwapo tayari una ndoa ya Kikristo?

    Mwehegu jipigie tu,kwani wewe unaushahidi gani wa sayansi ya dini kua ndie mungu alisema ndie?usije kosa uhondo buree
  10. T

    Mambo ya kutatanisha katika jamii kuhusu watu wenye upungufu wa akili

    Ni hivi engene ya kucontrol hisia,kutambua mema na mabaya{ubongo} haina mawasiliano shirikishi na sehemu zingine za mwi
  11. T

    Lowassa Rais UKAWA, Mwenza - Slaa, Lipumba - Waziri Mkuu, Zitto naye ndani

    Unaongopa kwa kiwango cha kubezwa hata na waongo wenzio
  12. T

    Misemo na majibu ya makondakta

    Wahi ya sasahivi kagongwa nyuma kahama mbele kupitia tinde
Back
Top Bottom