niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,657
- 5,409
are you a new english teacher?
YES I ARE.
YES I ARE.
Huwa nacheka sana misemo na majibu ya makondakta:
- Shemeji twende ya kuwahi kaka kesha rudi.
- Konda kuna siti? "Siti zipo ila wenzio wamekalia"
- Mama mkwe kamata bomba
- Oyaaa, wakusoma tulieni sio skuli basi hii
- Hapo nyuma fungua nauli
- Konda una mia nikupe mia tano? "Sina we unayo"
*Tupia mengine...
*Dada cheupe fungua zipu ya pochi yako-checheche (angongagonga coins)
Konda: Naomba nauli yanguUkimkuta dereva anapiga reverse huku konda anamuelekeza..
Utasikia..
LETE NYUMA HUKU UNAKATA
Ukimkuta dereva anapiga reverse huku teja anamuelekeza..
Utasikia..
NJOO, NJOO, MPAKA USIKIE PUUUH...
Nimecheka kwa nguvu....Shemeji, panua mguu mzee aweke fimbo yake
