Mi naunga mkono hoja walizoibua utopolo asee naona zina maslahi mapana ya mpira wetu,,tff na bodi ya ligi watajifunza na kuacha kufanya kazi Kwa maziwa. Kanuni zitafanya kazi na busara itawekwa pembeni,,,Go Utopolo Kanyaga hapo hapo
Mkuu acha kueneza uongo huo,yawezekana unafanya kwa kujua au kutokujua,,Qur'an ukiifatilia hamna aya hizo ulizooridhesha hapo juu,, Mambo kama hayo ndo husababisha chuki na na Vita kwenye jamii,,,Allah akuongoze katika ukweli
Mnajichotea tu hela za watanzania mnajaza matumbo yenu tu🚮🚮🚮, bado mnataka mharibu mbuga zetu za wanyama Kwa maslahi yenu, ipo siku. USIKU UTAKAPOKWISHA MTAJUA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.