Recent content by the bidhaa

  1. the bidhaa

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    @ INSIDER MAN kuna ujumbe nilikutumia kwenye email yako, naomba ufungue tafadhali
  2. the bidhaa

    Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    😅ulipaki gari kwenye ofisi Moja ya serikali hapo Kasulu mjini
  3. the bidhaa

    Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Mkuu nilikuona Kasulu asee na hiyo gari,jtatu iliyopita😀😀
  4. the bidhaa

    Kwanini Rostam Aziz ana uraia wa Uingereza?

    Muhuni huyo,anatafuna mali za Tanganyika vile apendavyo na hamna wa kumzuia😭
  5. the bidhaa

    Sijui nimewaambukiza wangapi ila wengi ni waume za watu

    Naomba uniambukize na mimi please 😊😊
  6. the bidhaa

    Viongozi na mashabiki wa Simba, yanayoendelea baina ya Bodi ya Ligi na Yanga ni geresha toto tu, Yanga wataingiza timu Jumapili na tutashangazwa

    Mi naunga mkono hoja walizoibua utopolo asee naona zina maslahi mapana ya mpira wetu,,tff na bodi ya ligi watajifunza na kuacha kufanya kazi Kwa maziwa. Kanuni zitafanya kazi na busara itawekwa pembeni,,,Go Utopolo Kanyaga hapo hapo
  7. the bidhaa

    Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa

    Nyerere road hii kwenda Gongo la Mboto😆😆
  8. the bidhaa

    Kama ni kweli haya yameandikwa kwenye Quran basi ifike point wanadamu tujinasue katika itikadi hizi. Sio mkristo, sio muislam tuamke.

    Mkuu acha kueneza uongo huo,yawezekana unafanya kwa kujua au kutokujua,,Qur'an ukiifatilia hamna aya hizo ulizooridhesha hapo juu,, Mambo kama hayo ndo husababisha chuki na na Vita kwenye jamii,,,Allah akuongoze katika ukweli
  9. the bidhaa

    Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

    Mnajichotea tu hela za watanzania mnajaza matumbo yenu tu🚮🚮🚮, bado mnataka mharibu mbuga zetu za wanyama Kwa maslahi yenu, ipo siku. USIKU UTAKAPOKWISHA MTAJUA
Back
Top Bottom