Recent content by the bidhaa

  1. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Hii ya Selemani Mwalimu kwenda Yanga Ahmed Ally akamatwe, kadanganya umma

    Ahmed Ally hana kosa hata kidogo,yeye anasema na kuwaambia mashabiki kitu alichoambiwa na viongozi wa Simba,ko hapo viongozi ndo tatizo namba 1 kwenye klabu yetu,ni wazito mno kwenye maamuzi🚮🚮🚮
  2. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    sawa mkuu
  3. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wakuu,hivi nawezaje kupata access ya vifurushi vya M2M halotel?,,
  4. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Argentina wanacheza kipumbavu mno,kila mda ni back pass tu aaaaahhhh😃😃 yanakera kweli
  5. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Maelekezo toka juu: Fungeni account za CHADEMA siku chache kabla ya mkutano mkuu, wape kesi ya utakatishaji

    Nchi hii saiv iko kwenye Auto pilot😥😥
  6. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Rais ni Binadamu sio Malaika, anaruhusiwa kukosea kwa kuteleza ulimi (a slip of a tongue). To err is human, nawaomba isiwe nongwa!

    hatupokei maelezo,hiyo ni rushwa mkuu,we huoni hata ufafanuzi wa Girishoni anasema et Tani badala ya Litre/gallon😁😁
  7. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    @ INSIDER MAN kuna ujumbe nilikutumia kwenye email yako, naomba ufungue tafadhali
  8. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    😅ulipaki gari kwenye ofisi Moja ya serikali hapo Kasulu mjini
  9. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Mkuu nilikuona Kasulu asee na hiyo gari,jtatu iliyopita😀😀
  10. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Polepole hana athari zozote kisiasa na kijamii. Asanteni Watanzania kwa kumpuuza

    Pumbavu🚮🚮🚮
  11. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rostam Aziz ana uraia wa Uingereza?

    Muhuni huyo,anatafuna mali za Tanganyika vile apendavyo na hamna wa kumzuia😭
  12. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Sijui nimewaambukiza wangapi ila wengi ni waume za watu

    Naomba uniambukize na mimi please 😊😊
  13. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Viongozi na mashabiki wa Simba, yanayoendelea baina ya Bodi ya Ligi na Yanga ni geresha toto tu, Yanga wataingiza timu Jumapili na tutashangazwa

    Mi naunga mkono hoja walizoibua utopolo asee naona zina maslahi mapana ya mpira wetu,,tff na bodi ya ligi watajifunza na kuacha kufanya kazi Kwa maziwa. Kanuni zitafanya kazi na busara itawekwa pembeni,,,Go Utopolo Kanyaga hapo hapo
  14. the bidhaa

    JamiiForums Tanzania Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa

    Nyerere road hii kwenda Gongo la Mboto😆😆
Back
Top Bottom