Ahmed Ally hana kosa hata kidogo,yeye anasema na kuwaambia mashabiki kitu alichoambiwa na viongozi wa Simba,ko hapo viongozi ndo tatizo namba 1 kwenye klabu yetu,ni wazito mno kwenye maamuzi🚮🚮🚮
Mi naunga mkono hoja walizoibua utopolo asee naona zina maslahi mapana ya mpira wetu,,tff na bodi ya ligi watajifunza na kuacha kufanya kazi Kwa maziwa. Kanuni zitafanya kazi na busara itawekwa pembeni,,,Go Utopolo Kanyaga hapo hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.