Vipi comeback za kombe la Dunia 2026 haziingii kwnye listi mfano:
1.Misri Vs Argentina
2. England Vs Argentina
3.Ivory coast vs German
4.Ivory coast Vs Norway
5.Senegal vs Belgium
Vyanzo vingine vinadai pia, huenda hio ni Mbinu/Janja Chama Cha Republican ya Trump kuomba pesa bungeni ya kuendelea kufadhili vita pia njia nyingine ya matajiri wa trump na washirika kuendelea kufanya "war business" uku wengine wakiathirika wao wakipigwa pesa kupitia vita
Duuh watu mna masikhara eti droni ya Iran elfu10 Kitanzania hahhhh najua unatania!!!
Ila ripoti zinadai shahed drones za Iran moja ni kati ya Dola elfu10-25
Ndo nchi zetu mzee chukua chako mapema uzalendo wa bandia, toa tu chochote kitu, watoto wasilale gizani na kusoma kwenye vibatari na mishumaa...
Ila Kuna Tanesko,Brela na TRA na ht halmashauri na Taasisi zingine zinazofanana na hizo Tz, zinakuwekea mazingira ya wewe utoe rushwa wakati mwisho...
Wazungu waarabu waliopo Bara la Afrika... Maana mara kadhaa wananukuliwa wakisema hawawakikishi Bara la Afrika, na ht wakishinda Wanadai ushindi ni special Kwa nchi yao ya Morocco tu na waarabu wenzao Duniani kote, so tu balance shobo Afrika!!!
Sasa mbona hio Argentina ni mjomba ake Israel au hulijui Hilo...
Na ni wabaguzi rangi balaah waliua kizazi Cha watu weusi wote nchini au kuamrishwa waende Brazil,Colombia, Ecuador na Jamaica uko Kwa weusi wenzao walikojaa.... Spain kidogo ubaguzi rangi wamepunguza sana nowdays
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.