Alafu na wewe ukutane Kwa mara5 Tena na Chelsea Nusu fainali ndani msimu mmoja, Wembley hapo, hakuna Cha Emirate Wala Darajani, Neutral Ground, na kwenye UEFA vilevile Chelsea akikaza na nyinyi pia, mnaweza mkakutana fainali, hivyo hivyo Kwa Man city na Liverpool mnaweza kutana nao Fainali UEFA...