Kama vile kpnd flan walivyotamba makocha wa kijerumani na kutikisa Dunia ukianza na Joachim Low aliebeba kombe Dunia 2014, Tuchel,Klopp wetu,Nagglesmann,Hansi Flick,juppy heynckes, Kuna makocha wawili ivi walipita dotmund kpnd klopp and Tuchel wameondoka majina Yao nimesau, mmoja aliifikisha...