Recent content by The Anfield

  1. T

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Mashabiki Mancity mnaogopa mtazodolewa kushangilia kombe lenu la Carabao Tena Kwa kumfunga Arsenal mnae kimbizana nae, Guadiola na klopp, walkuwa wanavidharau wanaita "Mickey Mouse Cups" Vikombe vya mbuzi
  2. T

    GUINEA yadai kombe baada ya Morocco kujiondoa uwanjani 1976

    Sheria na kanuni za Caf miaka hio zilikuwa zinasemaje? Hazikubadilishwa
  3. T

    Gharib Mzinga apunguze kutoa historia kwenye mechi, atangaze mechi bhana

    Bado nampenda utangazaji wa redio km akina nkamia na mpenja, makelele miingi na mbwembwe... Hapo unaangalia Mpira uku unapata maarifa mapya km wewe kweli mashabiki wa hio timu, japo internet nayo inatusaidia ku google na kupata mambo mengi ya kisoka sikuhizi... Akina Peter Drury sijui na Nan...
  4. T

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jamaa hajui kuongopa,
  5. T

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Usishangae hao madogo wa reno,wanawatoa, wanakumbukumbu yakuwahi kuwatoa robo fainali kwenye Europa league miaka kama mi3/4 nyuma
  6. T

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mechi za kibabe sana kasoro hio ya Arsenal na Wareno
  7. T

    Pamoja na Upuuzi wa Khamenei Lakin baada ya vita ya Kagera alitukopesha mataifa yote yakiwa yametutenga! Ila bado alikuwa mwema kipindi hicho

    Mkuu...Mleta mada nae mpuuzi tu huyo Hana akili yakuchanganua mambo bila kutumia propaganda za Marekani na Israel... Hapo hapo anakiri tulisaidiwa... Sasa Mmarekani au mzungu halisi wa western country angekupa msaada na riba juu, umpe baadhi rasilimali na baadhi masharti ya Uchoko
  8. T

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kuwa Legend wa club yako haimanishi ukirudi klabuni mwako utakuwa kocha Bora wa makombe, hizo walibahatisha akina Zidane tu akizungukwa na "Magalactos" akina Bale,CR7,Modric,Kroos na Benzema... Mimi hata Xabi Alonso Sina Imani nae kiviiile, sana sana tu achoweza ni kumchezesha vyema kinda wake...
  9. T

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wachambuzi wanasema na Mimi sehemu nyingine nakubaliana nao, Mpira Uingereza kupata magoli umekuwa over reliance on set pieces, sijui Kona au long throw nk ndo wapate magoli, sasa majuzi km uliona mechi arsenal na Leverkusen, ht Newcastle na Barcelona, Liverpool na Galatasaray kdgo pia, mara...
  10. T

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Alafu na wewe ukutane Kwa mara5 Tena na Chelsea Nusu fainali ndani msimu mmoja, Wembley hapo, hakuna Cha Emirate Wala Darajani, Neutral Ground, na kwenye UEFA vilevile Chelsea akikaza na nyinyi pia, mnaweza mkakutana fainali, hivyo hivyo Kwa Man city na Liverpool mnaweza kutana nao Fainali UEFA...
  11. T

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Cunha alicheza hivi Kwa dharau baada kuwafunga Arsenyo, Leo ndo mmevalisha kijola Kwa kupoteza gemu moja tu kati mechi 9 mfullizo kweli wa bongo nyoko😸😁🤪
  12. T

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wee Mmarekani na Muisrael wakikusikia unawataja hao Late Ayatollah Khamenei na Osama watakujumuisha kwenye Vita Yao!!💀💀🤪🤣
  13. T

    Kumbukeni hii vita sio ya US/Israel dhidi ya Iran bali ni dhidi mamlaka ya kigaidi ya Iran/IRGC

    Pesa nyingi sana hizo ukizi change kibongo bongo inazidi ht krillion.. Sema hao wakati mwingine serikali huwa Zina print pesa au kutumia hazina zake mafuta na dhahabu wanayoiba Duniani kote
  14. T

    Kumbukeni hii vita sio ya US/Israel dhidi ya Iran bali ni dhidi mamlaka ya kigaidi ya Iran/IRGC

    Hujui kitu wewe nyamaza tu, Ugaidi Ugaidi!! Vita anaweza kushinda lakini ndo maana hata Washirika wakubwa wenzake km Uingereza,Hispania, Ufaransa wanampinga sana na kumchenga chenga kumsaidia moja Kwa moja wanamuona trump kama kichaa hivi
Back
Top Bottom