Recent content by The Anfield

  1. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msigwa: Fedha za Zawadi kwa Serengeti Boys, Tanzanite Queens zitalipwa, mchakato wa fedha za serikali unaendelea ili walipwe

    Kwa Arusha uwanja wa Mpira wa watu elfu30/40 ni sawa Kwa kuanzia nao(labda waje wauongeze ukubwa baadae MAZINGIRA yakiruhusu), Arusha sio Jiji kubwa kibiashara na population kubwa ya watu km Dar es salaam, hapo dar tu yenyewe uwanja wa mkapa wa mashabiki elfu60 hatuwezi ujaza mpk mechi za Simba...
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Iran mbona hamleti profile Yao... Au ndo Mmarekani na Israel kawawekea vikwazo mpaka uku
  3. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Sasa Morocco unadhani ni muafrica mwenzenu? Anajitanabaisha kama Muarabu na Kuna kipindi yeye na Misri Egypt waliomba kujiunga Umoja Ulaya EU wakakataliwa, eti kisa tu wapo jirani zaidi na Spain,Morocco,Italy,Gilbatar na Ugiriki
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kremlin ina kawaida ya kuwasaidia na kuwapa hifadhi marais fedhuli waliokataliwa na wananchi wake

    Na wanaokimbilia Marekani,Ufaransa,Ubelgiji na Switzerland kuficha mipesa km Daudi Balali lete listi Yao... Maana umeleta kishabiki pasipo kujua hio nchi husika ilkuwa inafuata sera za Magharibi au Mashariki au kuto Sapoti sera za USA/WHO/IMF na World bank so lazima Marekani aingize chokochoko...
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    U Man Utd na U Liverpool uliwaharibu km bongo usimba na uyanga, Uccm na Uchadema, mwanasiasa yupo radhi asijenge barabara au hospitali maana kisa ni ngome ya Upinzani... Spain ndo kdgo wameweza kuishi nayo Hali ya U Madrid na u Barcelona jpo kwenye vilabu tifu kweli kweli na majigambo
  6. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Itakuwa aibu Ureno wakishindwa kufika fainali na midfield ya Vitinha, Joao Neves na Bruno Fernandes

    Xabi Alonso? Bdo anacheza huyu, aiseeeh
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DJ Sma: Ningekuwa mimi, ningewapeleka Wazazi wa Serengeti Boys, wale Senegal wangekula 5

    Na hao wabunge walioenda na wengine kutoroka vikao vya bunge wanacheza namba ngapi?
  8. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    B BOno yule kipa wa Morocco? Umri umeenda kdgo yule alafu Hana footwork nzuri type za akina joe hart na de gea, ataokoa michomo lakini footwork Kwa soka la kisasa muhimu
  9. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kama vile kpnd flan walivyotamba makocha wa kijerumani na kutikisa Dunia ukianza na Joachim Low aliebeba kombe Dunia 2014, Tuchel,Klopp wetu,Nagglesmann,Hansi Flick,juppy heynckes, Kuna makocha wawili ivi walipita dotmund kpnd klopp and Tuchel wameondoka majina Yao nimesau, mmoja aliifikisha...
  10. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Misimu 3-4 mbele kutoka sasa ndugu zetu Arsenal akija kubeba na yeye Uefa mrudi tena umu kutoa povu msikimbie kama yule jamaa alikuwa anadhihaki usajili paundi M100 wa Declan Rice ni hasara.... Makocha Chelsea,Ureno na Atletco wamechkua vikombe Kwa staili chafu Haram football km arteta...
  11. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Roman Abramovich unadhani aliuza bas? Sanctions mzee km unavyoona Kwa Iran,Russia,North korea na Cuba
  12. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Si mmechukua lakini UEFA conference km Crystal palace na Club world cup?? Au Mrusi Abramovich arudi
  13. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ila Andoni Iraola sio proven coach, anafundisha soka zuri ndio lakini je ni kocha wa makombe/Mataji au ni special tu Kwa hizo Midtable team au tubet km Arsenal na Leverkusen Kwa ARTETA na Alonso na kumpa muda?? Liverpool isijempalia km huyo slot, angalau ht slot alichukua vikombe 2/3 uko farmers...
  14. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    UEFA safari hii ni Saa1 usiku, so hata wakienda extra time na sherehe za kushangilia ubingwa haizidi saa4:30 usiku.. So jitahidini muwe na taarifa Sahihi ndo mpost vitu vya kisoka
  15. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Xabi Alonso yupo Chelsea kitambo mzee, jamaa habari ameileta kiushambenga alaf vitu vingine hana details za kutosha za uhakika
Back
Top Bottom