Recent content by The Anfield

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nitajieni bidhaa inayotengenezwa kwenye kiwanda cha mtanzania mweusi ambayo inauzwa KWA WINGI APA SOKO LA NDANI NA NJE

    Bakhresa ni mpemba Muarabu, na huyo metc mo dewji muhindi sijui mpakistani anajifanya mnyaturu Kwa kuzaliwa tu singida
  2. T

    JamiiForums Tanzania Comebacks 5 za kibabe zaidi kwenye soka la kisasa kuwahi kutokea

    Vipi comeback za kombe la Dunia 2026 haziingii kwnye listi mfano: 1.Misri Vs Argentina 2. England Vs Argentina 3.Ivory coast vs German 4.Ivory coast Vs Norway 5.Senegal vs Belgium
  3. T

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sio mbappe ndo walimuharibia Alonso na kuchochea wachezaji wenzake wasioneshe uungwana ktka sherehe za fainali Copa de Rey na kumdharau kocha wao pia
  4. T

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Vyanzo vingine vinadai pia, huenda hio ni Mbinu/Janja Chama Cha Republican ya Trump kuomba pesa bungeni ya kuendelea kufadhili vita pia njia nyingine ya matajiri wa trump na washirika kuendelea kufanya "war business" uku wengine wakiathirika wao wakipigwa pesa kupitia vita
  5. T

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Somalia na Afghan "kakimbia" lakini US ana military bases zake nchi zote 2 hizo plus Somaliland kupitia Israel..
  6. T

    JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Fungueni mbongo km jamaa mmoja alivyoeleza hapo... Magaidi wanatengenezwa hao na Westerners, Mrussi anatafutiwa sabbu,
  7. T

    JamiiForums Tanzania Iran imepiga jengo la CIA Uarabuni, Marekani yailaumu Urusi kuwa imeisadia Iran Taarifa za kupiga

    Una stock ya Chakula,Bidhaa,Mafuta na Fedha
  8. T

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Duuh watu mna masikhara eti droni ya Iran elfu10 Kitanzania hahhhh najua unatania!!! Ila ripoti zinadai shahed drones za Iran moja ni kati ya Dola elfu10-25
  9. T

    JamiiForums Tanzania Singo matha nawataman sana!

    Anataka alelewe, ale Mali za mgao kutalikiana au za urithi,fursa🤓🤓
  10. T

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kumkopa mchepuko wako pesa?

    Laki5 si umarioo sasa huo, labda km mtaandikishiana km akikukopa na sio kukupa Bure, utaonekna mwanaume mchele mchele Kwa huo mshangazi
  11. T

    JamiiForums Tanzania KERO Nililipia kuunganishiwa umeme na TANESCO - Kwangwa, Musoma tangu Machi 2026 hadi leo Julai 2026 nazungushwa tu

    Ndo nchi zetu mzee chukua chako mapema uzalendo wa bandia, toa tu chochote kitu, watoto wasilale gizani na kusoma kwenye vibatari na mishumaa... Ila Kuna Tanesko,Brela na TRA na ht halmashauri na Taasisi zingine zinazofanana na hizo Tz, zinakuwekea mazingira ya wewe utoe rushwa wakati mwisho...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Klopp hajafukuzwa usipotoshe!! Labda use me hakufurahia baadhi mambo uongozini akaamue akae pembeni
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mechi ya Morocco na Ufaransa siyo ya kukosa

    Wazungu waarabu waliopo Bara la Afrika... Maana mara kadhaa wananukuliwa wakisema hawawakikishi Bara la Afrika, na ht wakishinda Wanadai ushindi ni special Kwa nchi yao ya Morocco tu na waarabu wenzao Duniani kote, so tu balance shobo Afrika!!!
  14. T

    JamiiForums Tanzania Uhispania ni moja ya Timu ninayoipenda na kuishabikia+Argentina na Morocco

    Sasa mbona hio Argentina ni mjomba ake Israel au hulijui Hilo... Na ni wabaguzi rangi balaah waliua kizazi Cha watu weusi wote nchini au kuamrishwa waende Brazil,Colombia, Ecuador na Jamaica uko Kwa weusi wenzao walikojaa.... Spain kidogo ubaguzi rangi wamepunguza sana nowdays
Back
Top Bottom