Atuchekani kabsa ss tulitembea tanzania kumuita fisadi papa na bado akagombea urais akashika nafadi ya pili na kupata wabunge wa kuridhisha hii bdio siasa
Hawa wahamiaji watakuwa na nguvu ya kuisabaratisha ccm Bali watakuwa wapole sana ata kama watakosa fursa za uteuzi za kura ya maoni watapata fursa nyingine kipindi hiki wameangalia 2020 awatakuwa na uwezo wa kupambambana majimboni na kushinda kupitia chadema
Mkuu upo sahihi kabsa mimi sio bingwa wa kuandika wala kunena usema kwa niaba ya wengine ndivyo tunavyofikiria wengi tusubiri msiba uishe ni muhimu kwa walimu na wanafunzi wa shule zetu
Hivi leo mbowe akitangulia mbele ya haki ndio utakuwa mwisho wa chadema tuache mapenzi yaliyopitiliza tujitatafakari wajitafakari wamejikwaa wapi hili ni tatizo kubwa la viongozi kuhama viongozi wajitafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.