Hi ishu ya kashogi ilisukwa vizur tu lakin kama zilivyofeli za kina ulimboka nayo ilifeli....walijaribu kuudangny ulimweng kuwa kashogi alitok salam ubalozini
We hapa naona uko spiritual... Damu ni uhai.so unapo kunywa dam inakua umeingiza uhai mwingine ndani yko...kwa hiyo hapo kuna vitu lazima viende tofauti..kiuhalisia
Habari wana jukwaa.natumai ni wazima.... Natumai braza msaha pia uko poa.
Juz kat nilipitia Uzi wako unalikua ukizungumzia nguvu ya chumvi ya mawe.Niliuelewa Bas sikusita kwenda sokoni na kitafuta chumvi ya mawe na kufany kama ulichofundisha...ishu uko hapa sasa...
Baada ya kuoga kwa Siku kadhaa...
Nachweza kuchangia hili kabla ya kutatuta maana kabisa ya haya maneno...kweny hii Mind kuna mgawanyiko wa sehen mbili.
Nazo ni Consious mind na Sub conscious mind,sasa hi sehen ya conscious mind in sehem ambayo binadam anaweza kuitawala yy mwenywe kwa aslimia zote....mfno unapanga nin cha kufany...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.