Yeah, sio wazazi wote ni wazuri kwa watoto wao, ,na kadiri siku zinavyoenda tunashuhudia maovu mengi wazazi wanafanya kwa watoto wao, mf. kuwabaka, kuwalawiti, kuzaa nao, kuwachoma moto mikono, kuwaua, kuwafanya kitega uchumi kwa kuwauza kingono, kuwanyima chakula, kuwatelekeza n.k, sio wazazi...