Hivi wakuu utamgunduaje mwanamke mweupe?

Hivi wakuu utamgunduaje mwanamke mweupe?

mzee wa misele

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
366
Reaction score
46
Wakuu,

Naombeni mnijuze unawezaje kumgundua mwanamke ni mweupe naturally au anatumia mkorogo?
 
Mkuu endelea tu kupiga "misele" kwa sana afu utawagundua tu hao viumbe
 
ID yako tu inadhihirisha, Mzee wa misele katika ubora wake
 
wakuu naombeni mnijuze unawezaje kumgundua mwanamke ni mweupe naturally au anatumia mkorogo

-Mwanamke mweupe naturally anafanana na rangi ya Lowassa

-Mwanamke aliyejichubua anafanana na wale wanenguaji maarufu wa majukwaani wa hiki Chama.
 
Natural hana vidoti, mkorogo kaaja vidoti. Natural ni mweupe kote hadi nanilii, mkorogo ni mweusi kwenye kipepsi, magoti maungia ya vidole na sehemu za kucha inapoingilia. Natural ana harafu ya ngozi ya kawaida mkorogo hunuka vibaya. Natural hafinyi macho juani mkorogo hawezi kuangalia juani. Natural anaweza tembea juani bila kujifunika mkorogo hawezi kwa sababu hubadilika kuwa kama jini. Natural anajiamini mkorogo hajiamini. Natural ni mkavu mkorogo hutokwa na jasho ovyo. Natural milele yuko hivyo mkorogo akikaa mwezi tu bila mkorogo hurudi kuwa mweusi mwenye rangi mbili.
 
Good diferentiate!
Natural hana vidoti, mkorogo kaaja vidoti. Natural ni mweupe kote hadi nanilii, mkorogo ni mweusi kwenye kipepsi, magoti maungia ya vidole na sehemu za kucha inapoingilia. Natural ana harafu ya ngozi ya kawaida mkorogo hunuka vibaya. Natural hafinyi macho juani mkorogo hawezi kuangalia juani. Natural anaweza tembea juani bila kujifunika mkorogo hawezi kwa sababu hubadilika kuwa kama jini. Natural anajiamini mkorogo hajiamini. Natural ni mkavu mkorogo hutokwa na jasho ovyo. Natural milele yuko hivyo mkorogo akikaa mwezi tu bila mkorogo hurudi kuwa mweusi mwenye rangi mbili.
 
Mwanamke mwenye weupe naturally akikaa sehemu yenye mwanga hafifu bado anang'aa vizuri, anaonekana bado ni mweupe lakini anayetumia mkorogo/kujing'arisha kama si mtu mweupe kabisa naturally akikaa sehemu yenye mwanga hafifu anaonekana maji ya kunde or mweusi yaani utaona weupe wake mpaka umsogelee karibu au amulikwe na mwanga wa taa vizuri, na mtu mweupe naturally lakini rangi yake inakuwa imefifia eg. kutokana na jua huwa anakuwa na ngozi yenye ubrown , akitulia bila kupigwa na jua hovyo hovyo weupe wake unarudi
 
Bado dogo wewe? ukiwa mzoefu wa rangi utagundua, ila kwa urahisi vidole haswa kweny mikunjo ya viungio upande wa nyuma vitakumbia, huwa havibadiliki kirahisi.
 
Duuuuuuuhhhhh kwahio ile michilizi mara nyingi huwa inakuwa ni ya mikorogo? Manake kuna wengine wana michiriz kwenye mapaja na mbavu ucpime
 
Mwangalie Wema Sapato, alafu mfananishe na Salama Jabari utajua nani mweupe
 
Back
Top Bottom