Ww unavaa wig au unasuka kawaida???
Wanawake wengi wanavaa artificial hair kwa sababu ya kutojiamini na uzuri wao wa asili
Hapana aiseee, nina nywele nzuri hadi najijua, sijawahi kutumia hayo madude
Hahahahaaa sio kwa vichambo hivyo jamani!Nadhani wamekuelewa Cc Diva Beyonce nifah
eee bwana hapo wanaoishi kwa mama ni shiiida,,
ila kama nimuelewa mnakaa kwenu unamuwezesha hata mil. 1 auze hata maji nayeye jion apige mahesabu kama wanaume wenzake tehtehteh
am speaking from my soul, kama ni bf/ mwanaume wangu sijui niko naye na nina kipato nampa kabisa aanzishe biashara yoyote maana nsipompa atanitegemea hadi vocha na atakosa kujiamini utakuta kaugomvi ka kawaida atawaza una mnyanyasa.
ni bora ni mpe ili nayeye alete anachopata kama mimi kumuacha mume awe anaaibika kashika tama viudalali vya ajabu ajabu mtaani ni aibu yako wewe mwanamke pia. nampa akifanikiwa ama akazila na mademu zake nikiacha kumjali asilaumu. over.
Sukari Yenu unanipenda ili unichune vihela vyangu eeehhh, hebu magufuli aongeze kwanza. usifikir natoa kijingakijinga tu nakuchek kwanza nijiaminishe uaminifu wako na unapenda kufanya kazi mtaji ndo kikwazo tu au! kazi usharobaro tu, ukileta usharobaro ooohhh na degree yangu cjui nini siwez uza ubuyu, samaki nyanya nakuacha hivyohivyo uwe yahya utakula ugali na watoto tu na papuchi upumzike eeehhh
jamii forum.
Ni kweli maanake siwaoni huku mtaani...itabidi nianze kutafuta humu JF
hahahaha ni shiida
Wanawake kama wewe mnapatikana wapi??!!
kama sitaki kukuelewa
Akikujibu niite nami nitie neno
lijibuhili ni swali ama?
lijibu
Kaniambia wanapatikana humu JF.