Recent content by Texas Tiger

  1. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya bank imekaaje? hii riba ni sawa?

    Kama mshahara unaruhusu mwambie achukue huo mkopo kwa miaka 3 na miezi 9 (miezi 45). Kila mwezi awe analipa 1M. Ataokoa karibu 9M kwenye interest. Akichukua miezi 72 (miaka 6) kwa hiyo riba ya 16.5% atalipa 19.8M. Think about that.
  2. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania HOJA Maji mengi ya Kampuni hizi kubwa nahisi yana harufu flani ambayo si nzuri

    Kama upo Arusha nunua maji yanaitwa Jibu 💯
  3. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Barabara zote ni za serikali, polisi wanaweza kukuzuia kuweka gari lako barabarani!

    Mkuu kipigo ni kipigo tu. Usilete taharuki. Polisi wataendelea kupigwa na wananchi hii si mara ya kwanza na haitakuwa mara ya mwisho.
  4. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Acha uoga ndugu. Hii si mara ya kwanza polisi kupigwa na haitakuwa mara ya mwisho. Kipigo ni kipogo tu.
  5. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha kiapo kimemtetemesha Ndejembi Wakati akila kiapo cha Makamu wa Rais

    Niliona video moja dada fulani alikuwa anatoa hotuba/ushahidi sehemu sikumbuki vizuri aisee alikuwa anatetemeka mwili mzima kwa nguvu. Nadhani hii inaletwa na hofu, watu wengi wanakuangalia, unaogopa utakosea etc. Kitabu hakina chochote.
  6. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Yes, income ni main factor. Ila kwa lugha rahisi kama biashara ina MRR kubwa zaidi si ajabu mtu akawa anajilipa 6M kwa mwezi kama personal income huku bado biashara ikiwa na pesa ya kucover expenses na kufanya reinvestment. Ndio maana nilipozungumzia hiyo lifestyle nilikuwa namaanisha mtu mwenye...
  7. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Budget ya mtu binafsi inaamuliwa kulingana na priorities, expenses na investments sio income pekee.
  8. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru Atoa Agizo Kesi ya Lissu Ikamilike Ndani ya Siku 14

    Serikali feki ITASHINDWA hii kesi. Fahamu, mwenye criminal law treason requires a very high threshold of proof lakini vilevile ionekane huyo mtu amefanya vitendo physically kutenda hii treason. Hila za serikali kusingizia msemo wa political party kwamba ni kitendo cha uasi hapa serikali...
  9. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Sitaki kusema sana how much I make italeta mjadala usio na maana sana. Kwa kifupi net income ya business inazidi hii 6M kwa mbali. I own outbound agency for years.
  10. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Wewe budget yako imekaa vipi? Kiasi gani upo tayari kutumia kwenye kodi? Food? Usafiri? Entertainment? Investment?
  11. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Wewe ni ke naweza kuelewa hii personal care 500k. 1.5M inaweza onekana nyingi but inategemea na nyumba/apartment na pia eneo unalotaka kuishi. Binafsi napendelea prime areas kazi na mambo yangu mengi nafanyia nyumbani. Usalama, utulivu, na mwonekano mzuri wa nyumba/apartment ni priority ya...
  12. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Umewaza nini mkuu hadi ufikirie 6M income inatokana na mshahara? Mkuu most people wanao earn hii kiasi au zaidi ni business owners/entrepreneurs.
  13. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Mkuu mimi si mtoto. Na hii 6M sijasema hapa kama jambo la kufikirika, ninaendesha business wala usiwe na shaka na hii 6M
  14. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Yes rent 1.5M Nyingi au kidogo kwako? Saving, unaweza save hadi 24+ per year. Ada: watoto bado. Unatumia kiasi gani kwenye personal care? Gym etc
Back
Top Bottom