Kama mshahara unaruhusu mwambie achukue huo mkopo kwa miaka 3 na miezi 9 (miezi 45). Kila mwezi awe analipa 1M.
Ataokoa karibu 9M kwenye interest. Akichukua miezi 72 (miaka 6) kwa hiyo riba ya 16.5% atalipa 19.8M.
Think about that.
Niliona video moja dada fulani alikuwa anatoa hotuba/ushahidi sehemu sikumbuki vizuri aisee alikuwa anatetemeka mwili mzima kwa nguvu.
Nadhani hii inaletwa na hofu, watu wengi wanakuangalia, unaogopa utakosea etc.
Kitabu hakina chochote.
Yes, income ni main factor. Ila kwa lugha rahisi kama biashara ina MRR kubwa zaidi si ajabu mtu akawa anajilipa 6M kwa mwezi kama personal income huku bado biashara ikiwa na pesa ya kucover expenses na kufanya reinvestment. Ndio maana nilipozungumzia hiyo lifestyle nilikuwa namaanisha mtu mwenye...
Serikali feki ITASHINDWA hii kesi.
Fahamu, mwenye criminal law treason requires a very high threshold of proof lakini vilevile ionekane huyo mtu amefanya vitendo physically kutenda hii treason.
Hila za serikali kusingizia msemo wa political party kwamba ni kitendo cha uasi hapa serikali...
Sitaki kusema sana how much I make italeta mjadala usio na maana sana. Kwa kifupi net income ya business inazidi hii 6M kwa mbali. I own outbound agency for years.
Wewe ni ke naweza kuelewa hii personal care 500k.
1.5M inaweza onekana nyingi but inategemea na nyumba/apartment na pia eneo unalotaka kuishi. Binafsi napendelea prime areas kazi na mambo yangu mengi nafanyia nyumbani. Usalama, utulivu, na mwonekano mzuri wa nyumba/apartment ni priority ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.