Recent content by Texas Tiger

  1. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu kuenjoy maisha bila mwanamke, inawezekana lakini ni vigumu

    Haswa, bila watoto wazuri maisha yanafaa nini?
  2. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa Ikulu Dar es Salaam

    Acha uwongo. Tanzania hatuna rais.
  3. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania PIGA KURA: Ni kiongozi gani unayemwona anafaa kuaminiwa na Watanzania kuwa Rais wa 2030/2035?

    Tundu Lissu Miaka na miaka tumemwona na tunafahamu values anazosimamia na kupigania. 1. Mkweli 2. Hana chembe ya ukabila wala udini 3. Ana uelewa mkubwa wa mambo mengi hususani sheria 4. Haogipi wala hatishiki 5. Kiongozi anayetaka kuona kweli Tz inaimprove economically
  4. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Move yakibabe sana mkuu. Kwa maoni yangu ungetia 30 NMB kwaajili ya strong dividend income, 20 inayobaki CRDB since bei ya share ipo chini hapa kuna growth potential 3X 5X au hata 10X
  5. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania US na EU Kusitisha Misaada na Mikopo, Kuwawekea Vikwazo Wote walohusika na Okt 29, Ku Freeze Mali na Fedha zao za Nje , Watoto wao kurudishwa TZ

    Kabisa mkuu hawa si wakuaacha. Majambazi yote ya CCM tutawatafuta popote walipo. Tunawafahamu 🤡
  6. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Mwigulu ni moja kati ya majambazi amefanyia Chadema hujuma sana huyo kiazi
  7. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Moja katika watu wapumbav huyo pimbi
  8. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Kuendesha Gari Jijini Dar Kumeanza Kuwa Changamoto Kwangu

    Arusha ni shida, jana I almost hit boda akiwa na abiria wake 🤔 Kingine, traffic A-town ni KERO kubwa. Distance ya 10kms unaweza kukutana na traffic mara 3-5. Mbaya zaidi wote njaa kali macho yanawatoka wanaomba rushwa.
  9. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Trafiki Arusha mmezidi

    Duh, leo mida ya jioni, within 45 min traffic 2 wameniomba kitu kidogo, sijawapo chochote, hawa corrupt police wanaendekeza njaa muda wote, hawana aibu kabisa.
  10. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania The Economist: Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    Samia si RAIS wa Tanzania. Hajachaguliwa na wananchi. Watu waache kumwita huyu Zombi wa Kizimkaz rais. Huyu ni maamuma tu, na siku yake inakuja.
  11. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Ukijitoa out huwa unatumia kiasi gani cha pesa?

    Mimi natoka almost kila weekend. Na mara zote nakuwa na wife. Nikitoka mwenyewe Tzs20,000 inanitosha. Beer 4 I’m good. Nikiwa na wife Tzs50,000 - Tzs70,000.
  12. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Simbu ajinyakulia medali ya fedha Boston Marathon 2026 kwa kushika nafasi ya pili

    Hongera sana champ. Jamaa huwa ana train Ilboru ukipita jioni au asubuhi utamwona na wenzake 👏🏾 Hawa jamaa ni elite runners wako tough, fast and relentless. Usichukulie poa kabisa.
  13. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju usikubali ushetani, maliza kesi ya Lisu kwa haki. Heshima yako itasimama milele kwa jinsi ulivyo handle kesi ya Lisu

    Inahitajika moto mwingine uwashwe haiwezekani Tundu Lissu anateseka gerezani almost a year now. Kuwaomba hao majaji ni kazi bure, wengi ni psychopaths kama walivyo maharamia wote polisi, taasisi ya uraisi, Jwtz etc. Hata uzungumze lugha gani hawawezi kukuelewa. Solution ni revolution 🔫🔫🔫
  14. Texas Tiger

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Barabara ya Mwanza Mjini kwenda Kangaye ni mbovu sana, ina tu cost Watumiaji wengi

    Barabara Tz nzima ni mbovu hatari, potholes kila baada ya dk 3.
Back
Top Bottom