Tundu Lissu
Miaka na miaka tumemwona na tunafahamu values anazosimamia na kupigania.
1. Mkweli
2. Hana chembe ya ukabila wala udini
3. Ana uelewa mkubwa wa mambo mengi hususani sheria
4. Haogipi wala hatishiki
5. Kiongozi anayetaka kuona kweli Tz inaimprove economically
Move yakibabe sana mkuu.
Kwa maoni yangu ungetia 30 NMB kwaajili ya strong dividend income, 20 inayobaki CRDB since bei ya share ipo chini hapa kuna growth potential 3X 5X au hata 10X
Arusha ni shida, jana I almost hit boda akiwa na abiria wake 🤔
Kingine, traffic A-town ni KERO kubwa. Distance ya 10kms unaweza kukutana na traffic mara 3-5. Mbaya zaidi wote njaa kali macho yanawatoka wanaomba rushwa.
Duh, leo mida ya jioni, within 45 min traffic 2 wameniomba kitu kidogo, sijawapo chochote, hawa corrupt police wanaendekeza njaa muda wote, hawana aibu kabisa.
Mimi natoka almost kila weekend. Na mara zote nakuwa na wife.
Nikitoka mwenyewe Tzs20,000 inanitosha. Beer 4 I’m good.
Nikiwa na wife Tzs50,000 - Tzs70,000.
Hongera sana champ. Jamaa huwa ana train Ilboru ukipita jioni au asubuhi utamwona na wenzake 👏🏾 Hawa jamaa ni elite runners wako tough, fast and relentless. Usichukulie poa kabisa.
Inahitajika moto mwingine uwashwe haiwezekani Tundu Lissu anateseka gerezani almost a year now.
Kuwaomba hao majaji ni kazi bure, wengi ni psychopaths kama walivyo maharamia wote polisi, taasisi ya uraisi, Jwtz etc.
Hata uzungumze lugha gani hawawezi kukuelewa. Solution ni revolution 🔫🔫🔫
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.