Recent content by teri22

  1. teri22

    Mamlaka ziangalie uuzwaji wa visu, mapanga na vitu vyenye ncha kali barabarani Dar es Salaam

    Katika karne ya problems za mental health, inaogopesha kuona visu, mapanga na vinginevyo vinaruhusiwa kuuzwa waziwazi barabarani tena hata pasipokuwa kwenye mifuko yake. Unakuta Muuzaji anakuonyeshea kwenye screen na kama hujafunga kioo basi inakuja hapo kwenye sikio lako! Kwakweli hii hatari...
  2. teri22

    DAWASCO rudisheni maji huku Mbweni JKT

    Kwani what happened na Dawasco? Maji huku Mbweni JKT hamna tangu last week. Ukipiga Customer Care, hio lugha ni ishara tosha kuwa huduma mbovu. Huyu dada wa customer care kasema tu atamwita Engineer na wala hakupi ticket namba na ameshakata simu! Wakuu wa DAWASCO hebu tupieni jicho hizo huduma...
  3. teri22

    Dawasco rudisheni maji Mbweni JKT!

    Kwani what happened na Dawasco? Maji huku Mbweni JKT hamna tangu last week. Ukipiga Customer Care, hio lugha ni ishara tosha kuwa huduma mbovu. Huyu dada wa customer care kasema tu atamwita Engineer na wala hakupi ticket namba na ameshakata simu. Wakuu wa DAWASCO hebu tupieni jicho hizo huduma...
  4. teri22

    Sales lady wa supermarket

    A mini supermarket is looking for a sales lady in its Boko/Ununio branch. Please send your resume at teritayari@gmail.com
  5. teri22

    Betty Machangu Vs Shally Raymond: Wanawake wa CCM wanaotoana macho kisa ubunge

    Sio Kimbea tu lakini haina hata tija. Mtima mada unataka kusemaje kwani?
  6. teri22

    ISIS Terrorists Behead and Kill 11 Tanzanians.

    I’ve been reading this thread na inasikitisha to see with what has happened somepeople have personalized it into Kenya vs TZ or kiingereza kibovu, and mambo mengine ya mzaha. Jamani kama ni kweli ni ugaidi basi lisiwe jambo la kubezana. Ugaidi is real. Na kama they are driven with some kind of...
  7. teri22

    Naongezaje FM radio isome zaidi ya 100MHz?

    Oh Asante sana. Very helpful
  8. teri22

    Naongezaje FM radio isome zaidi ya 100MHz?

    Radio ya gari
  9. teri22

    Naongezaje FM radio isome zaidi ya 100MHz?

    Habari wandugu, radio yangu inaishia 90MHz. Nafanyaje niweze kusililiza stations kama choice FM ambazo ni 102.5? Asanteni in advance,
  10. teri22

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Wakala wa mitandao ya mobile money kama mpesa, Mitumba
  11. teri22

    Dereva anahitajika anaekaa Mbweni, Boko au Bunju

    Hello, dereva mwenye experience ya miaka mitano au zaidi anahitajika kuendesha familia. Vigezo vifuatavyo vizingatiwe: 1. Awe na umri si chini ya miaka 35. 2. Awe anaishi maeneo ya Mbweni, ununio, Bunju au Boko Dereva ameshapatikana. Asante sana.
  12. teri22

    Sales girl/ msichana wa kuuza duka anahitajika

    Hello, Tunatafuta msichana wa kuuza duka la spare parts lililoko Mbezi. Msichana awe na vigezo vifuatavyo: 1) Awe mcheshi Na mpenda watu 2) ajitume na awe mpenda kazi 3) Awe mchapa kazi na muaminifu 4) Awe na elimu angalau certificate/ form four/ form six 5) Awe anatokea maeneo ya Mbezi, Kawe...
Back
Top Bottom