Recent content by terbinafine

  1. terbinafine

    Ni jambo/kitu gani ungependa kubadilisha kuhusu wewe

    mimi natamani ningepewa uwezo wa kuchangamkia wadada maana kwangu mimi kutongoza demu uso kwa uso ni kazi moja nzito sana na siipendi, lakini nashukuru nimekuwa mtu wa bahati ya kushobokewa na wadada sana mana sasa nina miaka 26 na nimewahi tongoza mademu 2 tu ila nimeshagonga mademu wengi tu...
  2. terbinafine

    Hii ndoa hainipi amani

    daaah kweli kuna mambo hadi mtu anunue kitabu akamsomee mwanamke ili awe anatoa mzigo vizuri??
  3. terbinafine

    GE2020 Linapokuja suala la kuiondoa CCM madarakani, wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ni kikwazo

    dar tupo kutafuta hela tu na kuishi vizuri na sio kupigwa pigwa marungu na polisi
  4. terbinafine

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    maana kule clinic ataelekezwa vizur kuhusu dawa, aina ya vyakula vya kutuma na pia maendeleo kwa ujumla na pia ni rahisi kugundua complication za muda mrefu ambazo labda zimeanza kujitokeza au tayar anazo. kikubwa zaidi ivyo anavyodondoka na kupoteza fahamu na sukar iko juu ni moja kati ya...
  5. terbinafine

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    kwani huwa haudhurii clinic ya kisukar hospital?
  6. terbinafine

    Pongezi kwenu Single Mothers

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] we jamaaa
  7. terbinafine

    Ushawahi kuanzisha mahusiano mtandaoni na mtu ambaye hamjawahi kuonana

    vijana tunahangaika sana kwa kweli sijui kama ndoa tutaziweza uko mbeleni ngoja nikifikisha 30yrs nitajua uko uko
  8. terbinafine

    Ushawahi kuanzisha mahusiano mtandaoni na mtu ambaye hamjawahi kuonana

    [emoji23][emoji23][emoji23], kuna pisi zingine zikija ukaziacha kuna uwezekano wa kujuta badae
  9. terbinafine

    Ushawahi kuanzisha mahusiano mtandaoni na mtu ambaye hamjawahi kuonana

    Niliwai kukutana na pisi moja kali sana instagram mwaka jana december tar 10, tukawa tunachat fresh pale kufika tar 20 nikamjaribu kiutani "njoo dar" manake alkua anaishi dodoma alaniuliza je ni kweli aje nikamwambia njoo nakutumia nauli saiv akajibu nauli anayo kwaio nisitume Akasema nisubiri...
  10. terbinafine

    Punguza maringo mwisho wetu wote kaburini

    mathayo 25:29-nawaambia kwamba kila aliye na kitu ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kidogo alichonacho atanyang'anywa. Usiwe mnyonge bali fanyia kazi mapungufu au kasoro ulizonazo ili usidharaulike duniani na mbinguni.
  11. terbinafine

    Hatuendi kumchagua mtu kwa aliyoyafanya, tunaenda kusikiliza mtu atafanya nini kisha tuchague, aliyoyafanya tulishamlipa mshahara. Tunaajiri upya

    unaposema "hatuendi" unakosea labda useme "sitaenda" maana kuna wengine wataenda kumchagua kwa alioyafanya
  12. terbinafine

    Ni kitu gani unachotakiwa kufanya ukiona mpenzi au mke ameanza kujitenga na wewe?

    nimesoma comments zako vizuri zinaonesha akili yako ina uwezo mzuri wa kufikiria na kuchanganua mambo,hongera
  13. terbinafine

    Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

    1.kabla ya kulala aende kukojoa 2.ikifika jioni na kuendelea asinywe maji mengi au vitu vya maji maji mengi. 3. Usiku muamshe akakojoe. 4. Nenda hospital ukapewe dawa au kama unaweza kupata dawa inaitwa IMIPRAMINE kanunue atumie 25mg kila cku ucku kwa muda wa mwezi 1 kwanza
  14. terbinafine

    Msaada wa tiba ya ugonjwa huu

    huenda kulikua na secondary bacterial infection ndo maana alipewa na amoxicillin
Back
Top Bottom