Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Naomba kuuliza!! Jana baba yangu alidondoka gafla barabarani!! Baada ya kudondoka mdomo ulipinda!?mpovu yalitoka?!jasho jingiii??!hakawa haongei!! Hadi tunamfikisha Amana?!! Baada ya kupima akaambiwa alikua na sukari 23 mwilini!

kwani huwa haudhurii clinic ya kisukar hospital?
 
maana kule clinic ataelekezwa vizur kuhusu dawa, aina ya vyakula vya kutuma na pia maendeleo kwa ujumla na pia ni rahisi kugundua complication za muda mrefu ambazo labda zimeanza kujitokeza au tayar anazo.

kikubwa zaidi ivyo anavyodondoka na kupoteza fahamu na sukar iko juu ni moja kati ya madhara ya gafla sana kwa mtu ambae sana sana hafatilii dawa na mashart, na ni mbaya sana anaweza kufa cku moja bila kutarajia kwa mtindo huo huo.

kuna mambo mengi ya kuelezana kuhusu kisukar lakini kuyaandika inahitaji muda.

Msipuuzie kisukari sio ugonjwa mzuri hata kidogo
 
Mkuu pole kw ahayo maradhi ya Mzee wako. Wewe badala ya kutaka kujuwa kuwa ugonjwa wakisukari unatibika?wewe unataka kujuwa eti kiwango cha sukari kipimo chake kikoje? tumtibie mzee wetu ugonjwa wakisukari ili aweze kupona sio kuttaka kujuw akiwango cha Sukari mkuu maradhi ya kisukari yanatibika kwa dawa za asili na unatibiwa unapona kabisa.

kuliko ungojee mpaka mzee azidiwe umpelek hospitali utakuja kumkosa mzee wako kwani sukari yake ina andamana na ugonjwa wakupooza mwili wanauita kw akiswahili ugonjwa wa Kiharusi na huenda mzee wako pia anayo maradhi ya presha ingawahujampima lakini ninahisi pia huo ugonjwa wa maradhi ya presha anao mzee wako Pole sana.
 
Vidonda vya tumbo (Peptic ulcers) vinasababishwa na bacteria wanaoitwa Helicobacter pylori ( H. pylori) . Hao ndio wanaosabaisha vidonda vya tumbo. Unawapata kwa njia ya kunywa maji na kula vyakula vyenye bakteria hao. Dawa ni Atibiotics (km Amoxillin) pamoja na Metronidazole ukichanganya na Omeprazole.
Pole!
 
Habari zenu waungwana, binafsi nina tatizo la vidonda vya tumbo linanisumbua sana kwa ambaye anafahamu tiba au mwenye ushauri madhubuti msaada.

Natanguliza shukrani.
 
But huu sio ugonjwa. Ni disorder. Kisababishi kikuu ni kuharibika kwa balance ya PH level. Acid inapozidi mwilini matokeo ni vidonda vya tumbo, bloating, kiungulia, indigestion, constipation, hemorrhoids, UTI, Fungus, muwasho wa macho, ngozi kufubaa, halitosis (harufu mbaya ya kinywa), maumivu ya kichwa, uchovu wa mara kwa mara na mvurugo wa hormones.


Siri ipo kwenye diet yako. Hakuna dawa ya hii kitu inayotengenezwa kiwandani. Ni utapeli tu.
 
Kuna elimu pana sana kwenye mwili wa mwanadamu. Maradhi hutujuza mengi zaidi juu ya hii elimu.
 
Habari zenu wakuu,

Straight to the point nasumbuliwa na madonda ya tumbo sana kila nikila Tumbo linawaka sana nimetumia Anti acids bila mafanikio yoyote naombeni msaada wa dawa za kienyeji maybe zitanisaidia.

Thanks in advance wakuu
 
Habari zenu wakuu,

Straight to the point nasumbuliwa na madonda ya tumbo sana kila nikila Tumbo linawaka sana nimetumia Anti acids bila mafanikio yoyote naombeni msaada wa dawa za kienyeji maybe zitanisaidia.

Thanks in advance wakuu
Maelezo hayajitoshelezi. Umeugua kwa muda gani? Umewahi kwenda kufanya vipo?
 
Pole mkuu. Nilitumia dawa ya kienyeji kwa jina siifahamu, ni dawa wanazotumia Wasabato baada ya kutumia dawa za hosp kwa kipindi kirefu bila mafanikio. Nilipona kabisa mkuu
 
Chukua maziwa fresh na uya chemshe kisha yaipue yakipoa tia viini vya mayai ya kuku wa kienyeji mayai manne.Tia katika maziwahayo asali mbichi ujazo sawa.Kijiko cha unga wa majani ya mkalatusi. Kijiko cha unga wa habat soda.

Tumia dawa hii mara 3 kwa siku kwa muda wa siku thelathini.Tatizo lako la vidonda vya tumbo litaondoka.
 
Asante,umenisaidia na mimi. Nipo kwa hiyo dose ya Heligo kit,na nimeambiwa ninywe kwa wiki 2 tu...Kumbe natakiwa wiki 3...asante mkuu
 
Asante,umenisaidia na mimi. Nipo kwa hiyo dose ya Heligo kit,na nimeambiwa ninywe kwa wiki 2 tu...Kumbe natakiwa wiki 3.
 
Habari za huku waungwana, ninasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo mwenye kufahamu tiba au ushuri natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom