Kwa mambo yalivyo sasa hata nchi ikivamiwa na adui nauhakika wananchi watasaidia wavamizi...
Atleast viongoz wangekua wanatutendea mema tungekua na nguvu hata za kuwatetea..
Sasa wao wanaharibu nyumbani unadhan nani atahangaika kuonesha uzalendo wakati hawatujalii.. mi naomba mungu tusipate...
Yaan unacompare rwanda na zanzibar?????
Jf kweli imekua ya vilaza siku hizi...
Sasa rwanda kuna wageni gani wa kuizidi zenji???
Ñdio madhara ya kuviacha vimtu vya rwanda hapa tz yaan ni utumbo tu vnaongea
Shida hata chadema wasiposhiriki uchaguzi ccm wataleta tule tuvyama twao tunavyofufuka kipindi cha uchaguz ili kudanganya dunia kuwa tz kuna uchaguzi wa vyama vingi... halafu hapo chadema wanakosa kila kitu no wabunge no nini then ccm wanaendelea na mambo yao kama 2020 tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.