Recent content by TEMLO DA VINCA

  1. TEMLO DA VINCA

    Wallace Karia anaidharau sana serikali ya awamu ya sita, Kiburi chake kinatisha

    Huyo tutadeal nae after 15 June akiikata yanga point wallah hatakuja kusahau maisha yake yote
  2. TEMLO DA VINCA

    PreGE2025 Rais Samia: Vyombo vya ulinzi na usalama msiruhusu watovu wa nidhamu (wanaharakati) wa nchi nyingine kuja kutovuka nchini

    Kwa mambo yalivyo sasa hata nchi ikivamiwa na adui nauhakika wananchi watasaidia wavamizi... Atleast viongoz wangekua wanatutendea mema tungekua na nguvu hata za kuwatetea.. Sasa wao wanaharibu nyumbani unadhan nani atahangaika kuonesha uzalendo wakati hawatujalii.. mi naomba mungu tusipate...
  3. TEMLO DA VINCA

    Rais wa Yanga tayari ameshawekwa sawa alipokwenda Dodoma

    Amka wee jamaa usije kojoa kitandani
  4. TEMLO DA VINCA

    Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na Mabunge ya wafadhili wetu

    Hamtaki kuambiwa ukweli wakati misaada yao mnashobokea?? Au mnadhani wazungu wataogopa vimikwara vyenu vya kishambaa
  5. TEMLO DA VINCA

    Jesca Magufuli ni mtu ambaye analazimisha Mfumo umbembe wakati hana uwezo wa kiuongozi, CCM stay alert!

    Kwani kasema anataka kugombea???? Mchawi sio lazma avae hirizii
  6. TEMLO DA VINCA

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Muache mfe njaa??
  7. TEMLO DA VINCA

    Cheapest countries to travel to in 2025: Tanzania hatumo, tunakwama wapi?

    Kwan wageni wamekatazwa kutumia hivyo vitu cheap vya wazawa.... Kwani humu jf siku hiz kumekuaje mbona people zmekua vilaza sanaa
  8. TEMLO DA VINCA

    Cheapest countries to travel to in 2025: Tanzania hatumo, tunakwama wapi?

    Yaan unacompare rwanda na zanzibar????? Jf kweli imekua ya vilaza siku hizi... Sasa rwanda kuna wageni gani wa kuizidi zenji??? Ñdio madhara ya kuviacha vimtu vya rwanda hapa tz yaan ni utumbo tu vnaongea
  9. TEMLO DA VINCA

    Tundu Lissu na CHADEMA kama chama, sikiliza ushauri huu wa Ansbert Ngurumo

    Shida hata chadema wasiposhiriki uchaguzi ccm wataleta tule tuvyama twao tunavyofufuka kipindi cha uchaguz ili kudanganya dunia kuwa tz kuna uchaguzi wa vyama vingi... halafu hapo chadema wanakosa kila kitu no wabunge no nini then ccm wanaendelea na mambo yao kama 2020 tuu
  10. TEMLO DA VINCA

    Kwa sasa kumtetea Rais MAGUFULI (RIP) ni ngumu sana sawa na kuwatetea Single mother kulivyo na ugumu

    Uloaandika hii thread wote mmetumwa nyie msitufanye wajinga nyyoko zenuu
  11. TEMLO DA VINCA

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Maadmin walipige ban tuuu ka anapendq hizo # zake aende jukwaa la siasa
  12. TEMLO DA VINCA

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hilo jamaa m nililiignore muda mrefu sana yaan lipo ka wamelilogezea aseee, hadi huruma
Back
Top Bottom