Ndvyo watanzania tulivyo, kudhihirisha uliyoyaandika angalia mchango wao hapa, but imngekua skendo hii post ingekua na comments 1000, ila kwa kuwa ni ya kueleza ukweli hukuti mbongo hapa.
Chunga kauli yako, jeshi halifungamani na chama, na ukuu wa wilaya au mkoa haufungamani na vyama, hata wanajeshi wenyewe hawapenfi haya maovu kuna mmojawao hataki hata kusikia wizi huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.