mamakibunju
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,009
- 222
Njoo fancity square meters 1200, kina offer Million 15
Fun city ni umbali gani kutoka pale unaposhuka na panton pia kiko umbali gani na barabara
Njoo fancity square meters 1200, kina offer Million 15
Karibu kwa mwenye uhitaji Wa kiwanja Dar es Salaam,kipo Salasala-Kinzudi.Ukubwa mita 20x40, umeme upo na nguzo ya umeme iko jirani kabisa na kiwanja.Pamejengeka na nieneo linalokuwa kwa kasi.Hakijapimwa ila mchakato umeshanza tunapima wakazi Wa eneo kwa pamoja natumesha changa hela kwa hatua ya awali. BEI milioni 11.5
Bado kipo mkuu?
Bado kipo mkuu?
Dah ningepata cha mwanzo ingekua poa sana, nimetoka kidogo nikirudi Dar nitakuja kukiona