pole mkuu,mke utamuacha na baba utamfanyaje?kama baba ndio tabia yake ya uzinzi hata ukioa tena bado atakuchapia tena,piga chini wote baba pamoja na mke maana huyo baba nae wala hafai kupewa heshima ya ubaba.
tatizo huyo Diamond amesahau kuwa mashabiki waliompandisha ndio watakao mshusha,inshort ana maneno machafu ya kulambishana ndim cjui,mara maumivu yakizidi kamuone daktari yaani too much maneno ya Kiswahili kwa mashabiki wake kiasi kwamba anaboa.
Daah mkuu pole sana kwa stress kama ni kutukana tu we tukana uwezavyo tusi gani ambalo litakuwa jipya labda sijawahi kulisikia au ukitukana litanichubua ngozi au?haya uwanja wako tukana uwezavyo mkuu nakuruhusu kwa roho nyeupe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.