Recent content by Tekelo

  1. Tekelo

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Malinyi-morogoro nije Dodoma(chamwino,bahi au chemba) ELIMU SEKONDARI
  2. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi stashahada maalumu kutoka UDOM kufanya mtihani wa form six

    Kama nchi tunahitaji kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia ili mwanafunzi asitegemee sana mwalimu,kama tunataka kuendeleza na kukuza wanasayansi,Hii kozi ya UDOM imeandaa watu muhimu sana katika taifa hili kutokana na changamoto ambazo wamekuwa wanakumbanazo,,,msikate tamaa songeni...
  3. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Leo ndio nimejaribu punyeto, kumbe ni tamu kuliko mwanamke

    Angalia usije ukawa addicted kama dawa za kulevya
  4. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Septemba 1, 2016 Makonda asema JWTZ watafanya majaribio mbalimbali ikiwemo kurusha ndege angani

    Huyu jamaa inatakiwa aonywe, Asije kuzani TPDF ni kama hao police wanaowasumbua ,Wanajeshi wakiamua hata leo kukalia kiti cha mkuu wake wanaweza
  5. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Hatma ya wanafunzi waliosimamishwa masomo UDOM itajulikana lini?

    Serikali imeamua kuchezea elimu ya vijana hawa ambayo wameitafuta kwa muda mrefu kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne , Hivi ingelikuwa ni watoto wao ndo wanapotezewa dira namna hii wangejisikia amani kweli?
  6. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu mgomo UDOM

    Kama maandamano hayasaidii mbona wametoa majina ya mkopo ambayo yanaonyesha yamefanyiwa malipo tangu tarehe07/01/2015 Mnao mpinga Mwakibinga mpingeni ila mungu anajua mchango wake ni upi katika kutetea haki za watoto wa masikini
  7. Tekelo

    JamiiForums Tanzania UDOM kinanuka Jumatano

    Serikali iliahidi kutoa mkopo kwa wanafunzi watao soma diploma ya ualimu, lakini mpaka leo kuna watu wameishi hapa udom kwa muda wa miezi miwili bila kupata huo mkopo ,maisha magumu sana watu wanaanza kufungasha mabegi kwa kukosa hela ya kuendesha maisha ya chuo,hivyo basi jumatano ijayo...
  8. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kujitolea JKT kwa vijana

    Jamani jeshi si kusaka ajira jeshi kujitolea kufa
  9. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Masomo ya stashahada ualimu wa sekondari (sayansi na hisabati) kwa wahitimu wa kidato cha nne

    mbona yale majina inaonyesha ni watu waliomba diploma ya shule za msingi na si diploma ya sekondari
  10. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuna tatizo la kujieleza mbele ya vyombo vya habari

    Huyu jamaa nikama alikuwa anaulizwa mada tofauti na fani yake vile, maake hakueleweka kabisa
  11. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Nape: Warioba na Tume yake wanaigeuza rasimu kuwa mradi binafsi

    Haini huyu aache wazalendo watupe somo siyo kuimba muungano wa unafiki wao
  12. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Wazee jimbo la biharamulo magharibi wampa masaa 120 mbunge ; kuripoti bunge la katiba

    Swala la ardhi waisubili tanganyika yetu
  13. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Lema: Leticia Nyerere ni mmoja wa wasaliti

    Ukombozi hauhitaji watu wengi na waoga kama yeye aende 2 akaungane na wapumbavu wenzie
  14. Tekelo

    JamiiForums Tanzania Kama tunataka kuirudisha serikali ya Nyerere rais awe Dr. Salim na waziri mkuu Warioba

    Hao ni miongoni mwa wazalendo wachache waliobaki
Back
Top Bottom