Recent content by Tekelinalokujia

  1. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano 24 Septemba 2014, Uwasilishaji wa Rasimu ya Tatu ya Katiba Mpya

    History in the making, TZ. :embarrassed:
  2. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania PICHA: Mikutano ya M4C - Operesheni Pamoja Daima leo Januari 25, 2013

    Tell the people the truth.
  3. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya upinzani; polisi wajiweka tayari.

    Ni kweli kabisa jukumu la ulinzi na usalama wa raia na mali zao ni la polisi, na maandamano ni haki ya kimsingi ya raia, hivyo basi polisi wanawajibika kuwalinda wote wanaoandamana na watakaokuwepo maeneo ambayo maandamano yatapita na sio kuyazuia, kuyazuia kwa sababu za kiusalama kila ikiwa ni...
  4. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Ukonga: John Heche Kuunguruma Ukonga Mazizini Jumapili hii...

    Huu ni upuuzi yaani kuhamasisha ulinzi shirikishi aka polisi jamii ndio kwenda kuchangishana hela kununua matairi na petroli kwa gari la polisi kuweza kufanya doria? hawa wanasiasa na viongozi chini ya utawala wa ccm ni bure kabisa, yaani wao ni kufwata pale ambapo raia wamehangaika na...
  5. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania Bei za Makahaba/Machangudoa Dar zilizo kwenye soko kwa mwaka wa fedha 2013/14

    SWIZ PUB TABATA wapo pia bei zao bado hawajaziingiza ?
  6. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo (Mkurugenzi Mkuu wa JamiiForums) apata ajali mbaya Maeneo ya Nzega

    Pamoja ktk roho moja, Muumba awatie nguvu mpate nafuu mapema.
  7. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania waziri mweusi wa kwanza huko itali

    DRC’s Kyenge Suffers Racism As Italy’s 1st-African Cabinet Minister Dr. Cecile Kyenge, an Italian citizen born of parents from the Democratic Republic of Congo made history as the first African to become a cabinet member in Italy on April 27, a historic development which however has seen a...
  8. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania Binti wa sekondari ananikosesha raha ndani ya ndoa yangu

    Wewe si ulim-(Nilimgegeda effectively)? sasa haya ndio matokeo ya kusikilizia utamu na kujenga kibanda badala ya kupita njia.
  9. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania Ndesamburo: Ngumi zitapigwa bungeni

    Compilation of World Leaders Getting In Fights - YouTube Kujua habari ni bure, kanuni na sheria zikifwatwa hakuna sababu za mtafaruku, hawa pia walipishana kuhusu kufwata kanuni na mwishowe inakuaga hivi.
  10. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na polisi katika mtifuano mkali

    :nono: MADARAJA MAPYA KWA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE: Serikali kwa kupitia wizara ya elimu imefanya mabadiliko kwenye madaraja ya alama za mitihani ya kidato cha nne. Hapo awali, madaraja yalikuwa ni kama ifuatavyo: A = 81%-100% B = 61%-80% C = 41%-60% D = 21%-40% F = 0%-20% Mabadiliko...
  11. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na polisi katika mtifuano mkali

    By Chris Lukosi Nani alikuambia mie nilifeli? Sio kuandika unatokwa povu tu bila kutumia akili. Haya ukiandamana kesho halafu.... Au unadhani baada ya kuandamana ndio watabadilisha hiyo sifuri yako kuwa Division one? Tatizo lenu mnakurupuka tu kufuata upepo bora DJ kasema muandamane basi woote...
  12. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Kwa watumiaji wa juice za AZAM

    Hii breder ni made in Tanzania nini? hahahaaaa:A S shade:
  13. Tekelinalokujia

    JamiiForums Tanzania Mnyika na viongozi wapya CHADEMA-UK

    Wewe kweli -----, mwishowe hukawii kusema (Kwanza hao ni wanasisiemu London) bwahahahaaaa
Back
Top Bottom