Mnyika na viongozi wapya CHADEMA-UK

Mnyika na viongozi wapya CHADEMA-UK

Ila hawa ni bora msiwaite viongozi. Waiteni waratibu, kwasababu kuwa kiongozi ni lazima uwe na mtu wa kumuongoza. Sasa hawa wanamuongoza nani?

Hawa wanaratibu uanzishwaji upya wa vuguvugu la chadema London baada ya muasisi wa awali Chris Lukosi a.k.a Mzee wa Kazi kujitoa na kundi kubwa la wanachama kumfuata...

Chris Lukosi anajua kabisa kuwa kilichomtoa Chadema ni kigingi alichowekewa kwenye biashara zake, hakuna mfanyabiashara aliyeingia Chadema au upinzani akaachwa mambo yake yaendelee, utapigwa rungu balaa, chezea Magamba!!!

Lakini wapiganaji wa kweli ndio hawa wanaendelea kuibuka, wanafiki kama hao na wenye njaa kali kama kina Shonzi na mwenzake lazima watachujwa tuu!!!
Peoplezzzzz.....
 
HAWA NDIO WA4
c5.png
 
Afadhali umewaonyesha mapicha kichele. Walishaanza kuongea na wasingemaliza hawa jamaa kwa jinsi ninavyowajua. Haya semeni tena. Kwa taarifa yenu hiyo ni London peke yake na wengine hawakufika. cheze NGUVU YA UMMA weyeeeeee
 
Ila hawa ni bora msiwaite viongozi. Waiteni waratibu, kwasababu kuwa kiongozi ni lazima uwe na mtu wa kumuongoza. Sasa hawa wanamuongoza nani?

Hawa wanaratibu uanzishwaji upya wa vuguvugu la chadema London baada ya muasisi wa awali Chris Lukosi a.k.a Mzee wa Kazi kujitoa na kundi kubwa la wanachama kumfuata...
Mkuu acha wivu utakufa kwa fedheha bure.
Wenzetu Chadema wanasonga mbele sisi CCM kutwa tunashinda hapa Lumumba kupika majungu tu na Propaganda za kitoto.

Ndugu yangu CCM kwa sasa katika mikoa ya Iringa, Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Dar ni kama imekufa kabisa wakati tuna viongozi na wanachama katika mikoa hiyo, nini tatizo hasa?
Amka sasa ndugu yangu ukafufue chama na sio kuropoka chuki tu mtandaoni.

Huyo Lukosi hana lolote la maana kwa CCM zaidi ya kutafuta dili za tender za kupiga. Infact kwa sasa anajuta kwa sababu ya kujidhalilisha na tender ya TBS kaikosa. Kwanza hakuhama CHADEMA bali alifukuzwa kwa aibu kutokana na tabia chafu ya kutaka kutumia chama kama mgongo wakutokea.
Eti kwa sasa anajipanga kugombea ubunge Iringa mjini kupitia CCM!!! Maajabu ya dunia, wakati kuna makada wa CCM kama 10 kwa sasa wamejipanga kimafia kupita kura za maoni, Lukosi anatoa mapovu tu humu JF.
Halafu hajui kabisa nguvu kubwa ya kisiasa aliyonao Pastor Msigwa pale Iringa kwa sasa.
 
Hakuna kilema hapo. Hiyo ni hali halisi tu ambayo Mnyika amejionea kwa macho yake. Lakini kwa sababu Mnyika yuko kwenye safari zake za kufanya mitihani, hakuna alichopoteza...

Mkuu ZeMarcopolo
Duh Mnyika kaamua kurudi shule? Kweli JF limegeuka darasa ile vita ya ukombozi imekwisha

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Kuna vichwa kama vinne ninavijua hapo kwenye picha wamejiripua toka mwaka 2000 wanaishi Leeds na Briston, Norfolk. Toka lini mpemba akawa Chadema.
 
Kuna vichwa kama vinne ninavijua hapo kwenye picha wamejiripua toka mwaka 2000 wanaishi Leeds na Briston, Norfolk. Toka lini mpemba akawa Chadema.

Wakiingia watu wa border control agency hapo anabaki Mnyika peke yake. Zitafurumuka mbio hapo, hayo madirisha yote yatageuka milango...
 
Kuna vichwa kama vinne ninavijua hapo kwenye picha wamejiripua toka mwaka 2000 wanaishi Leeds na Briston, Norfolk. Toka lini mpemba akawa Chadema.

Mimi ni mpemba na ni mwanachama halali wa chama kubwa CHADEMA, karibu mbeya mafiati uone bendera kuuubwa ikipepea mbele ya biashara zangu, kabla hujaropoka fanya utafiti pia wapo jamaa zangu wapemba wapo sumbawanga kibiashara nao ni chadema, unalo la kusema hapo yakhe?
 
Watanzania walioko UK wamechoka sana sijui kuna nn ile nchi tafauti na USA.

Siyo wote ambao tuko UK tumechoka, wewe vipi bana,
Hawa umeambiwa wanatafuta njia ya kutokea kwenda Tanzania.


Kwanza hii kitu ya kuwa kiongozi wa tawi la CHADEMA UK au tawi la CCM UK kwangu ni ujinga tupu. Halafu kikao kwenye Pubs za East London. Hakuna lolote. Wote hawa ni waganga njaa.
 
Back
Top Bottom