Mh Rais kafanya maamuzi hayo baada ya kupata feedback frm PM,, kwa Ziara yake ya kushtukiza.. Sasa mambo ya UKAWA yanaingiaje hapa tena. Yaan kwa evidence zote hizi za makontena 349 kodi iliyokwepwa zaid ya bil 80, bado unaingiza mambo ya UKAWA tena.???!!!
Hiv kweli wizara nzima ilishindwa kushauriana na kumshauri President kuwa badala ya hela iliyotolewa na Hazina wanunue MRI mpya kuliko kutengeneza hizo mbovu.? Sasa hiyo billion 3 tushaitupa baharini na mashine bado mbovu. Duuh kweli Tz kuna kitu kina-miss upstairs ( vichwani).
Kumbukeni hata kwenye kampeni zake alikuwa anacctiza serikali ya Magufuli na sio ya CCM labda ndo kusema amejitenga na maovu ya chama chake.. # kazi ndo Ishaanza hivyo.
Kwa hili tumpe credit zake maana amethubutu,, sasa kwa Mawaziri ataowachagua aingie nao mikataba kabisa ili ULE msamiati wa Mawaziri Mizigo lisijirudie tena.
Duuh hivi kwa attention yote hii kwa wa Tz kinachojili huko Dom kuna yoyote ambaye bado anaamini Rais ajaye atatoka UKAWA? Endapo CCM watakuwa kitu kimoja baada ya mchakato huu naamini bado wana nafasi kubwa ya kutoa Rais ajaye. My opinion.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.