Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,770
- 10,660
Mbeleni mtaaibika nyie mnao politicized kila kituWatu wanajibu baadhi kwa mihemko,nimetoa ushauri maana hata mh.Magufuli si malaika kwamba yuko sahihi 100% kila kitu.Tunamshauri kuwa makini na tahadhari juu ya maamuzi yake.
Wote tunataka afanye hivyo lakn hatutaki mbeleni aaibike.